Bill and Melinda Gates wakijua kiini cha tatizo la Arusha wanaweza kufuta misaada yote Tanzania

Nimeangalia ile clip Lema anapiga makelele hataki kuambiwa kwanini imekuwa hivyo.
Ni bora tungezijua sababu.
Na ninavyojua misaada yoyote hufuata utaratibu. Lema atueleze sababu ambazo zimesababisha hicho kituko nasi tujadili.
MCC imefuta.misaada,hawa nao wanaweza kuondoka,eeeehh mwenyezi mungu!!!!
 
MCC imefuta.misaada,hawa nao wanaweza kuondoka,eeeehh mwenyezi mungu!!!!
Nimefuatilia hii habari na nimesoma ile barua ambayo hao wahisani wameitoa. Ile haikuwa shughuli ya kisiasa kama Lema alivyoichukulia. Na wao ndio walikuwa na jukumu la Au kuto mshukuru Lema japo kuwa yeye ndiye anahusika na swala hili
 
U
Tatizo kubwa lilipo nchini kwetu ni kwamba politics imewekwa mbele ata katika mambo ya msingi na hili limeonekana wazi katika nyanja mbali nchini mpaka kupelekea tunaonekana vituko mbele ya macho yetu wenyewe.
Upinzani ni Uadui. Ukitaka kuamini fuatilia post/comments za hapa kati yao.
 
Nimefuatilia hii habari na nimesoma ile barua ambayo hao wahisani wameitoa. Ile haikuwa shughuli ya kisiasa kama Lema alivyoichukulia. Na wao ndio walikuwa na jukumu la Au kuto mshukuru Lema japo kuwa yeye ndiye anahusika na swala hili
lema alilalamika kwamba top wa.mkoa ndiye anaigeuza ya kisiasa
 
Msaada wa Mmarekani huwa una kiambatanishi cha takwa la demokrasia, haki za binadamu na kuheshimu wapinzani.

Sasa kama tatizo la Arusha linahusiana na ubaguzi dhidi ya wapinzani, hawa jamaa ambao wanasaidia mambo mbalimbali nchini kwa mamilioni ya dola, wanaweza kusitisha kila kitu.

Kwa dunia hii ya mitandao ambayo email ya Bill gates iko nje nje, lazima kazinyaka taarifa hizi. Sasa tujiandae kwa maumivu.

Wamarekani wakiona hii picha hapa watajua upinzani wa Tanzania ni bure kabisa.Wamarekani huamini sana haki ya mtu kusikilizwa.Kitendo cha Godbless Lema kumkatiza kihuni vile mkuu wa mkoa kwa wamerekani ni kero na haikubaliki.Ndio maana ukiangalia hii video dakika kuanzia DAKIKA ya 1.20 Huyo mama mfadhili wa kimarekani anamsihi sana Lema tena kwa machozi kuwa akae chini amwache mkuu wa mkoa aongee .Mama anasema LET THE REGIONAL COMMISSIONER SPEAK.Huyo ni mmarekani sio mtanzania.Pia ukjiangalia wazungu walimfuata Lema kumwambia shut up lakini hakuwatii

Hii picha Bill gates akiiona upinzani usahau misaada toka kwa watu wa marekani

 
Akili za watanzania zilitambikiwa mlima kilimanjaro usiku wa siku ya uhuru, cjui zilinenewa nini jmn!!!!
Kuna shida vichwani hata humu twatetea ujinga kwa kigezo cha itikadi
Nadhani founder wa taifa hili kuna kitu hawakukiweka sawa.... inaumiza sana kuwa mpinzani hapa tz.... Lema inaonekana was so much pressed mpaka akaamua kujilipua.... but why all these..... watu wanajifanya wanasali na nguzo kuu ya dini zetu zote ni kumpenda na kumheshim mwenzio.... tunashindwa nini kwenye hili??
 
Wamarekani wakiona hii picha hapa watajua upinzani wa Tanzania ni bure kabisa.Wamarekani huamini sana haki ya mtu kusikilizwa.Kitendo cha Godbless Lema kumkatiza kihuni vile mkuu wa mkoa kwa wamerekani ni kero na haikubaliki.Ndio maana ukiangalia hii video dakika kuanzia DAKIKA ya 1.20 Huyo mama mfadhili wa kimarekani anamsihi sana Lema tena kwa machozi kuwa akae chini amwache mkuu wa mkoa aongee .Mama anasema LET THE REGIONAL COMMISSIONER SPEAK.Huyo ni mmarekani sio mtanzania.Pia ukjiangalia wazungu walimfuata Lema kumwambia shut up lakini hakuwatii

Hii picha Bill gates akiiona upinzani usahau misaada toka kwa watu wa marekani


wazungu walishangaa mualikwa alipovunja protocal zote,sasa ngojeni,habari hizi lazima zimfikie Bill Gates

dawa zinawapa shida kununua,
 
Akili za watanzania zilitambikiwa mlima kilimanjaro usiku wa siku ya uhuru, cjui zilinenewa nini jmn!!!!
Kuna shida vichwani hata humu twatetea ujinga kwa kigezo cha itikadi
umenichekesha mkuu....kwamba "sijui zilinenewa nini..."
 
wazungu walishangaa mualikwa alipovunja protocal zote,sasa ngojeni,habari hizi lazima zimfikie Bill Gates

Walimwalika mkuu wa Mkoa kama mgeni wa heshima.Lema was a non entity hapo.Hata kwao mgeni wa heshima ni mheshimiwa huja na protocols zake.Huwezi kumwalika mgeni wa heshima Raisi Obama halafu ukatarajia atalazimika kufuata protocol zako.Lema alikuwa tu mwalikwa he was nobody pale
 
Walimwalika mkuu wa Mkoa kama mgeni wa heshima.Lema was a non entity hapo.Hata kwao mgeni wa heshima ni mheshimiwa huja na protocols zake.Huwezi kumwalika mgeni wa heshima Raisi Obama halafu ukatarajia atalazimika kufuata protocol zako.Lema alikuwa tu mwalikwa he was nobody pale
hahahaaaa......you are just a dreamer....daylight dreamer
 
wazungu walishangaa mualikwa alipovunja protocal zote,sasa ngojeni,habari hizi lazima zimfikie Bill Gates

dawa zinawapa shida kununua,

Wazungu ukitaka kuwatibua uwe na BAD LISTENING HABITS kama hizo za Lema.Wanapenda sana mtu akiongea mwingine u -pay attention

Listen habits za Godbless Lema ni ZERO
 
Wazungu ukitaka kuwatibua uwe na BAD LISTENING HABITS kama hizo za Lema.Wanapenda sana mtu akiongea mwingine u -pay attention

Listen habits za Godbless Lema ni ZERO
walichukia sana protocal zilipovurugwa....nimeona kwenye video uliyoweka.....mmoja kama vile alimfata top wa mkoa nikajua zinataka kuchapwa,naona mungu alisaidia haikutokea
 
Walimwalika mkuu wa Mkoa kama mgeni wa heshima.Lema was a non entity hapo.Hata kwao mgeni wa heshima ni mheshimiwa huja na protocols zake.Huwezi kumwalika mgeni wa heshima Raisi Obama halafu ukatarajia atalazimika kufuata protocol zako.Lema alikuwa tu mwalikwa he was nobody pale
"Non-entity" kasababisha kutumbuliwa kwa "entity". Tuache siasa, tufanye kazi.
 
Back
Top Bottom