OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,085
- 103,314
Wana Mleba wanahoji kuwa kuna kipindi Mama Tibaijuka aliwaletea pilau pale jimboni,wapiga kura wake wanaomba kujua kama zilitokana na Escrow?haijajulikana kama wanataka kumrudishia pilau yake ama lah!Tibaijuka amejitetea kuwa pesa hizo alizitumia kuboresha shule zake kwa ajili ya watoto wa maskini.Aidha imejulikana kuwa ada katika shule zake ni zaidi ya milioni 4!imehojiwa ni maskini gani wa kulipa ada milioni 4?