Bilioni 61 zatumika kulipana posho TANESCO

Gazeti la Raia mwema la leo limekuja na ufisadi wa kutisha uliofanywa na shirika la Tanesco kwa miezi kumi iliyopita kwa kutumia zaidi ya billioni 61 kwa kulipana posho viongozi wa shirika hilo la uma kila wanapofanya vikao au ziara mbalimbali za kikazi ndani ya nchi.!

Hata hivyo Zito Kabwe amesifia hali hiyo na kusema hayo ni matumizi ya kawaida tu.View attachment 2205684
Unawashitaki kwa waliolipana zaidi ya hizo! Hamna hatua zozote zilizochukuliwa, nalo limepita.
 
Back
Top Bottom