squirtinator
JF-Expert Member
- Sep 20, 2015
- 2,765
- 4,174
Zikamatwe Mwanza ziletwe Dar.Kale ka-junction kanalitia taifa hasara, walau kwa kuanzia kuchimba msingi hizo pesa zitafaa, kazi ianze haraka iwezekanavyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zikamatwe Mwanza ziletwe Dar.Kale ka-junction kanalitia taifa hasara, walau kwa kuanzia kuchimba msingi hizo pesa zitafaa, kazi ianze haraka iwezekanavyo.
Kale ka-junction kanalitia taifa hasara, walau kwa kuanzia kuchimba msingi hizo pesa zitafaa, kazi ianze haraka iwezekanavyo.
Kwani hii si nchi moja? Mbona kodi inakusanywa Dar na kiwanja cha ndege kinajengwa Chato?Zikamatwe Mwanza ziletwe Dar.
Mimi nisingeomba hongo kubwa, ningeomba milioni 100 tu halafu nawakana, nawachomesha kwa askari wengine, nisingewasindikiza.Hivi ingekuwa wewe ndiye uliyekamata hizi ungekwepa mkono huu wa Sheria? Je, Serikali inawawezesha kwa kiasi gani ili hata wakiona vishawishi kama hivyo waweze kuishinda tamaa? Serikali imejiuliza ni kwa nini wafanyabiashara wa madini wanatorosha madini kila kukicha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Beki 3 wa wazaz wako kaandaa chai?Sasa nimezaliwa Dar na nimekulia Dar, na naendelea kuishi Dar, sipajui kwingine kokote, unataka nihamie wapi kwani? Maana hapa mimi ni kwetu, au unataka nihamie walipotokea wazazi wangu? Ili iweje..
Hapo sasa, ila kama kama siyo ya wizi au hujuma kwanini kuhonga 700m/- na kutaka kumalizia rushwa ya 300m/-?! Kweli kama umenunua kihalali utahonga bilioni moja for nothing?!Kwani dhahabu ilikua ya wizi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Safari ni nedefu sana kwenye miundo mbinu kama hiyo, ila sidhani kama watatusikiliza...Kale ka-junction kanalitia taifa hasara, walau kwa kuanzia kuchimba msingi hizo pesa zitafaa, kazi ianze haraka iwezekanavyo.
Dah umenena mkuu hasa pale mlimani kwenye zile kona za "kaburi wazi" na "mkasi".
Sio kwa Serikali hii ya Dr. John Joseph Pombe Magufulikwa jopo la mawakili ambao hao wahindi watawaweka ile dhahabu lazima waondoke nayo na fidia juu
Pale kama mwaka huu inajengwa flyoverKwa sababu haujaipigia kelele kama mimi ninavyoipigia kelele Kamata junction, tofauti ni hiyo tu. Mfano tulivyoipigia kelele Ubungo Junction, wengi wape, sisi tuko wengi
Hakuna kitu hapo acha kuota mchana hiyo wala haipelekwi mahakamani watatakiwa waonyeshe vibali tu na wakishindwa tu issue inaishia hapo hapo hakuna cha kwenda kwa pilato wala nini.kwa jopo la mawakili ambao hao wahindi watawaweka ile dhahabu lazima waondoke nayo na fidia juu
Itafaa sana na pale kaburi wazi panyooshwe manake ile sehemu ina kona korofi kweli.
Sasa kama wewe unaishi kwenu unaforce tufanane?
kwahiyo Jana walikuwa wapi pale au huelewi maana ya mahakamaHakuna kitu hapo acha kuota mchana hiyo wala haipelekwi mahakamani watatakiwa waonyeshe vibali tu na wakishindwa tu issue inaishia hapo hapo hakuna cha kwenda kwa pilato wala nini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale wamepelekwa kwa issue nyingine kwani pale wewe umeona yupo mhindi?kwahiyo Jana walikuwa wapi pale au huelewi maana ya mahakama