cedrickngowi
Senior Member
- Jun 9, 2012
- 148
- 23
plus 3bn zilizotaka kupigwa ambazo kimsingi mkuu wetu na washkaji zake walitakiwa wakale bata na kupiga picha na wasanii wa kiwanja.tungeongeza takribani mashine zingine 14 za xray.bila kusahau misamaha ya kodi wanayopeana na mahoteli yao ambayo hayalipi hata shilingi TRA.CCM need to know that U CANT FOOL ALL THE PEOPLE ALL THE TIME.!