playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,647
- 1,565
We don't need viewers sio bongofleva hiyo use me tunataka trending cha msingi mzigo umeweka...mchukueni Manara atawafaaWadau tukio la No kuweka pesa halijapewa uzito unao stahili ukilinganisha na Mambo yaliyo tokea huko nyuma
Binafsi naliona pengo Manara, na hii ni Mwanzo tu. Yule mtu hakua msomi lakini alikua na Kipaji cha kuzaliwa.
Simba itaanza kupoteza mvuto na hata hiyo B20 haitazaa kama matarajio
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app