Anaogopa nini kwenda peke yake huko mwezini mpaka awapate wakumsindikiza, hana familia, ndugu, au marafiki wa karibu?
Hizi lifti za kudandia sio poa.
Bangi ikinitoka pengine nitakuelewa.NIMESOMA BANGI IMETOKA...
Mtanzania wa KWANZA kaungia kwenye kampuni ya Kuelekea MWEZINI (sio blidi ya wanawake) Mtanzania huyo kapewa dollar Milioni 17 kwa ajili ya familia yake Unatamani apeleke nini huko MWEZINI
We mzungu umebakiza nini?Ndo mlicho bakiza wabongo.
Endelea kubana pua unachokitafuta utakipata.Kuinunua JF