Bilionea Saniniu Laizer achangia Tshs. Milioni 5 kwenye ujenzi wa ofisi ya chama cha walimu Tanzania (CWT)

Vyama vya wafanyakazi nchi hii ni vyama vya kifisadi.

Yaani vinaumiza wafanyakazi kuliko hata Mwajiri ( serikali ).

Zaidi ya 60% ya watumishi wa serikali nchi hii ni walimu. CWT wanakata 2% ya mshahara kwa kila mfanyakazi kwa kila mwezi lakini eti bado kujenga ofisi tu mpaka wachangiwe.

Upuuzi mtupu.
Imagine kwa mwezi wanakusanya sh ngap?sema nini hili chama la wakubwa
 
aache ushamba, avae nguo nzuri na viatu vizuri sasa, na asaidie wamasai wenzake wanaopigwa baridi maporini huko kuliko kujifanya ana hela za kutoa misaada. lets be real, hivi laiza ni wa kutoa misaada? ukipita maporini huko vitoto vya kimasai vimepigwa baridi na jua hadi nnzi wanajaa kwenye macho, hawajapiga mswaki hawajaoga hawana maji, awachimbie visima vya maji wanyeshe hata ng'ombe tu, chakula ni cha shida....

Hakuna ushamba wowote anajivunia mavazi asili yake kama Waarabu wanavyojivujia kanzu na baibui.

Hawezi kuwasaidia Wamasai wote. Ni ni kazi ya serikali na jamii nzima ya Watanzania.

Kila mtu anasaidia anapoona msaada wake utakuwa na impact anayoitaka msaidiaji. Ni utashi wake.
 
unaonaje angechimba kisima wamasai wawe wanakunywa maji pamoja na ng'ombe sao? angefanya awareness wawe wanaoga na kupiga mswaki? wawe hawakeketi nyapu wa mabinti zao na waache kuishi maporini kama wanyama? anakuja kumsaidia mswahili hivi mimi mswahili nahitaji msaada gani kwa laizer, nahisi kama bado anahitaji msaada wangu kwa mwonekano wake tu kwasababu hakuna kilichobadilika tangu apate hela, bado ni masai yuleyule wa longido. siwabagui masai lakini hata mimi baada ya kutoka kijijini kwangu nimekuwa tofauti na wanakijiji wenzangu na wanaweza kuiga mfano wa civiliazation niliyo attain, anavaa malapa ya tairi yaleyale, vyakula vilevile,nguo zilezile..hela imemsaidia nini sasa?
kwahiyo kwa tafsiri yako kubadili utamaduni au kubadili mavazi ndo civilization?umetoka kijijini kwenu umebadilika lakini hiyo Kijiji we umeisaidia nini ?umepeleka maji au unampangia mtu matumizi yake na bla bla ,akiichangia taasisi na hiyo taasisi ikaboreshwa Ina maana taasisi itatoa huduma nzuri kwa jamii Ile Ile tena Simanjiro.
Nachoona una umia kwa ajili ya hela za Laizer ,Laizer siyo kama wewe uliyekimbia kijijini kwenu halafu unasema umebadilika
 
nyumba/boma lake nalijua, ni la kawaida tu. ukweli uzungumzwe, ukipata hela unatakiwa kubadilisha maisha ule raha, sio kuishi maisha yaleyale ya longido.
Sawa Bwana Mdogo ila kaa ukijua Laiza pesa alikuwa nayo kabla ya kukabidhiwa hiyo billion 7

So akili zako kisoda zinazodefine mafanikio kwa kuangalia nguo MTU alizovaa siku nyingine zisikutume kuja kuandika utumbo jamii forum

So ww ukikutana na kijana kala sut unasema huyu maisha kayapatia?
 
Uupuuzi mtupu CWT inahusiana vipi na ufanisi wa kazi kwa walimu,hyo hela ungeongezea kwenye ujenzi nyumba za walimu ndo ngekuona wa maana ila CWT??

Kuwa changia CWT hakuna maana... CWT ni wezi tu wanaokusanya michango ya walimu pasipo kuwasaidia walimu kupata haki na stahili zao...

Angewasaidia yatima ingekuwa safi
 
Kwaiyo mkuu unataka Laizer asaidie wamasai wote duniani??? Ebu fikirisha akili kabla yakujibu tajiri anasaidia taasisi Kama shule, Barabara, Hospital, kanisa, misikiti n.k sio kwenda maporini nakuanza kugawa fedha huko Laizer kasaidia wengi tu kama hujui kitu nibora kuwa kimya usipaniki
Hata akitoa fedha zake zote hatawafikisha popote.
 
unaonaje angechimba kisima wamasai wawe wanakunywa maji pamoja na ng'ombe sao? angefanya awareness wawe wanaoga na kupiga mswaki? wawe hawakeketi nyapu wa mabinti zao na waache kuishi maporini kama wanyama? anakuja kumsaidia mswahili hivi mimi mswahili nahitaji msaada gani kwa laizer, nahisi kama bado anahitaji msaada wangu kwa mwonekano wake tu kwasababu hakuna kilichobadilika tangu apate hela, bado ni masai yuleyule wa longido. siwabagui masai lakini hata mimi baada ya kutoka kijijini kwangu nimekuwa tofauti na wanakijiji wenzangu na wanaweza kuiga mfano wa civiliazation niliyo attain, anavaa malapa ya tairi yaleyale, vyakula vilevile,nguo zilezile..hela imemsaidia nini sasa?
Mkuu weka akiba ya maneno..
 
Kwaiyo mkuu unataka Laizer asaidie wamasai wote duniani??? Ebu fikirisha akili kabla yakujibu tajiri anasaidia taasisi Kama shule, Barabara, Hospital, kanisa, misikiti n.k sio kwenda maporini nakuanza kugawa fedha huko Laizer kasaidia wengi tu kama hujui kitu nibora kuwa kimya usipaniki
Ni chuki tu. 😀
 
unaonaje angechimba kisima wamasai wawe wanakunywa maji pamoja na ng'ombe sao? angefanya awareness wawe wanaoga na kupiga mswaki? wawe hawakeketi nyapu wa mabinti zao na waache kuishi maporini kama wanyama? anakuja kumsaidia mswahili hivi mimi mswahili nahitaji msaada gani kwa laizer, nahisi kama bado anahitaji msaada wangu kwa mwonekano wake tu kwasababu hakuna kilichobadilika tangu apate hela, bado ni masai yuleyule wa longido. siwabagui masai lakini hata mimi baada ya kutoka kijijini kwangu nimekuwa tofauti na wanakijiji wenzangu na wanaweza kuiga mfano wa civiliazation niliyo attain, anavaa malapa ya tairi yaleyale, vyakula vilevile,nguo zilezile..hela imemsaidia nini sasa?
Kwa hio mkuu akivaa kimasai hawi bilionea ila akivaa kiswahili au kizungu. Yani lazima avae siruali.
Hivi masai wakitoka hiko porini hapo mjini patakalika, mnamazizi ya kutunza ng'ombe 600
- 3000 za masai mmoja?
Aylu unataka vita itokee maana watalisha hata vibustani vyenu vya mchicha mtavumilia?
Masai na wasukima na wagogo na wamang'ati nawaomba msije mjini wengine hatujazoea mapanga.
 
Kwa hio mkuu akivaa kimasai hawi bilionea ila akivaa kiswahili au kizungu. Yani lazima avae siruali.
Hivi masai wakitoka hiko porini hapo mjini patakalika, mnamazizi ya kutunza ng'ombe 600
- 3000 za masai mmoja?
Aylu unataka vita itokee maana watalisha hata vibustani vyenu vya mchicha mtavumilia?
Masai na wasukima na wagogo na wamang'ati nawaomba msije mjini wengine hatujazoea mapanga.
hayo ni mawazo yangu tu,weka yako. period.
 
aache ushamba, avae nguo nzuri na viatu vizuri sasa, na asaidie wamasai wenzake wanaopigwa baridi maporini huko kuliko kujifanya ana hela za kutoa misaada. lets be real, hivi laiza ni wa kutoa misaada? ukipita maporini huko vitoto vya kimasai vimepigwa baridi na jua hadi nnzi wanajaa kwenye macho, hawajapiga mswaki hawajaoga hawana maji, awachimbie visima vya maji wanyeshe hata ng'ombe tu, chakula ni cha shida....
Mbona unaingilia uhuru wa mtu
 
Sawa Bwana Mdogo ila kaa ukijua Laiza pesa alikuwa nayo kabla ya kukabidhiwa hiyo billion 7

So akili zako kisoda zinazodefine mafanikio kwa kuangalia nguo MTU alizovaa siku nyingine zisikutume kuja kuandika utumbo jamii forum

So ww ukikutana na kijana kala sut unasema huyu maisha kayapatia?
Kati ya kabila lilobalikiwa hapa Tanzania ni masai. Yani mtu mmoja anapata bilioni 7 kwetu kigoma uvue samaki wa miaka 2 tena wavuvi wote wachange samaki zao, hapo bado ng'ombe bado mbuga za wanyama. Nyie masai wamebarikiwa.
Kule kwa wanyakyusa hata uuze migomba ya wilaya nzma,hupati bilioni 7.
Nduguzangu wazarsmu minazi na michungwa hupati bilioni 7, labda wa ntwara vokotosho vyao wanaweza ambulia bilioni 3.
Nyie msiichukulie poa bilioni 7.
Ila laizer alipigwa na magu angekuwa
Hata na bilioni 20, baba alikuwa mzulumati yule.
Nimewaza kama alinacha.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom