Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
Hata mie nataka kujua.. Halafu huyu milionea mbona hata jina sijaliona? Wengine walipokufa picha zilirushwa sana kwenye whatsApp mbona huyu bado mpaka sasa?
hapo sasa, labda tukishajua hiyo hoteli ipo maeneo gani tutakuwa na cha kusema!