Anaitwa Millard Laizer kwa sasa.Millard yupo na ubaya gani tena mzee Mzukulu?
Huyu mmasai hili bilioni 8 haitachukua raundi unajua hela ina watu wake. Hela sio ngo'ombe ina akili zaidi ya ng'ombe.
Ayo ni mmeru, ila wamasai na wameru ni majirani na kuna baadhi ya mila zao zinafanana.Msichojua ni kuwa production yote inaweza kufanywa kwa siku moja,halafu anaachia vipande wiki nzima
Kingine huyo.Ayo nae ni mmasai,inawezekana na ujamaa na ndio mana aliweza kuwa wa kwanza kufanya exclusive interviewa
Duuh nime google nimesoma mtunzi wa whisper songIle Kama ya George Maiko?
Careless whisper. mkuuDuuh nime google nimesoma mtunzi wa whisper song
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Unashindwa faham kuwa kadiri unavyoangalia channel yake ndio unamwingizia pesaMillard ayo to much jamaa kimbelembele Sana
Mbabaikaji sana
Ova
Ni Mbabaikaji fulani kwnza watu wa mawe hawapendi promo hizo eti anamuliza Vp mzee utanunua hammer???YAAN ANAONESHA NJAA ZA WAZI UKIFUNGUA KUPATA HABARI MPAKA LEOHII N LAISER KACHINJA NGOMBE ULITAKA ACHINKE WAKEZAKE??KILA ANACHOFANYA LAISER MTAKIONA HOPE SIKU TUTAONA KITANDA CHAKE ANACHOLALIA
Kuna vitu vingi vinaendelea ila, haya mambo ya vijana daahMillard yupo na ubaya gani tena mzee Mzukulu?
Mkuu itoe hiyo nyepesi nyepesi ya Millard ayo ilikuwa vipiJamani si nae yupo Kazini Kwake au? Huwa simkubali kivile Milard Ayo kutokana na Nyeti moja Kumhusu Yeye, ila kwa hili naona mnamuonea tu.
Nami pia usisite kunitagAkijib hiyo nyeti yake, naomba unitag Mkuu
Mkuu itoe hiyo nyepesi nyepesi ya Millard ayo ilikuwa vipi
Kumbe ule mzigo sio wake peke yake nasikia kuna mchimbaji mwenzake watagawanaHii ni ushauri kwa aliye karibu na bilionea mpya, Laizer wa Arusha.
Aogope sana maana waandishi wa habari watampamba, watamfurahia mpaka mwisho akiwapa vijisenti wakimtangaza.
Siku akiishiwa huanika kila kitu na kubakia haamini kama ni wale waliokula naye nyama za ng'ombe na kutapakaa.
Namwona kila mara wapo wote, hope wamehamia Arusha kabisa. Kila ukiamka kuangalia taarifa unakutana na mara mke wake, mara mtoto wa Laizer mara nyumba za wake zake.
Nimkumbushe alikuwepo bwana anaitwa Askofu ambaye alinunua hoteli hapo Arusha na timu ya mpira na ni Muarusha.
Ndugu wa karibu fuatilia kilichomtokea mpaka sasa, yupo kama yupo.
Fuatilia yale masheli yake kila kona yaliishia wapi, now wako wanamiliki vijana wadogo.
Waangalie sana waandishi mkuu bilionea, wasikuzoee sana kama familia yako.
Nawatakia la kheri.
Mbona hata wewe kimbelembele kujifanya wajua kila kitu mjiniMillard ayo to much jamaa kimbelembele Sana
Mbabaikaji sana
Ova