Bilionea Laizer aishukia Serikali kutokana na mgao wa umeme

Etwege

JF-Expert Member
Jul 4, 2018
5,666
15,065
Bilionea wa wa madini ya Tanzanite na Ruby bwana Laizer amesema anasikitishwa sana na kitendo cha umeme kukatika kila mara na kupelekea washindwe kuendelea na shughuli zao za uchimbaji kama walivyojiwekea kwenye mpango kazi wao.

Ameiomba serikali kutafuta namna ya kupambana na kuondoa kabisa tatizo hilo kama kweli wanataka Tanzania ya viwanda itokee na wajasiliamali waweze kuinuka kiuchumi.

 
Mwambie Laizer anaishi Africa, ups and down Africa ni kawaida sana due to our primitive ambao hata yeye pia anao..

Biashara yake ya uchimbaji kwa aina ile ya uchimbaji wala hata hahitaji Standby generator la zaidi ya 100KVa...

Offcourse watu wote tunapaswa kupaza sauti juu ya hili la umeme lakini in business lazima uwe flexible kuendana na mazingira ya KiaAfrica hata ikiwezekana wewe kusaidia jamii inayokuzunguka with simple solutions...
 
Mwambie Laizer anaishi Africa, ups and down Africa ni kawaida sana due to our primitive ambao hata yeye pia anao..

Biashara yake ya uchimbaji kwa aina ile ya uchimbaji atahitaji Standby generator la zaidi ya 100KVa
Bilionea wa mchongo, majenerata yapo mpaka ya 440KVA used Dar Kwa bei chini ya Tshs 100,000,000..

Umeme wa kutosha, kuendeshea shughuli zake na kijiji!

Yeye bilionea anashindwaje kuboresha biashara yake Kwa kujiongezea ufanisi!?
 
Back
Top Bottom