Yangu macho hujui nini kilichopo kwenye ubongo wa kila kiumbe haiwewe ni nani wataalamu wangemkatalia asipoteze gharama ndomana mwezenu kaamua atenge gharama watu waingie maabara bana unakuja na majibu yako mfukoni eti haiwezekani ,sikila unaambiwa na mwamposa Basi unaondoka nacho Kama kilivo ,mwanadamu kaumbiwa uwezo wa kufikiria acheni tuone