lwambof07
JF-Expert Member
- Jul 12, 2016
- 4,593
- 5,203
- Thread starter
- #141
hivi kwa nini tukiumwa huwa tunaenda hosipitaliniChanzo cha kifo ni dhambi. Chanzo cha kifo ni lile tunda la kati. Yani atakufa na utafiti wake maana hakuna njia kumrudisha binadam kwenye ujana maana dhambi ina mtafuna mpaka umauti... Aka dhambi ya asili...