Bilicanas imarisheni ulinzi

Mwita25

JF-Expert Member
Apr 15, 2011
3,831
1,164
Ijumaa iliyopita niliamua kuwatembelea baada ya kusikia sifa zenu. Kwa kweli nilichokutana nacho ni matatizo ya hali ya juu. Baada ya kupiga ndovu nane niliamua kujipumzisha counter na kupitiwa na usingizi. Baada ya kuamka nilijikuta sina laki nane zangu, sina saaa na blackberry yangu ikawa imenitoka. Kama mnataka kupata wateja basi jaribuni kuimarisha ulinzi, vinginevyo mtapoteza wateja wenu hivihivi
 
Ijumaa iliyopita niliamua kuwatembelea baada ya kusikia sifa zenu. Kwa kweli nilichokutana nacho ni matatizo ya hali ya juu. Baada ya kupiga ndovu nane niliamua kujipumzisha counter na kupitiwa na usingizi. Baada ya kuamka nilijikuta sina laki nane zangu, sina saaa na blackberry yangu ikawa imenitoka. Kama mnataka kupata wateja basi jaribuni kuimarisha ulinzi, vinginevyo mtapoteza wateja wenu hivihivi

Unakunywa pombe zote hizo halafu unataka ulindwe.......next time kanywe hivyo mabibo uone utapoteza nini..halafu hizo mali ulizotaja zinaonyesha ulimbukeni wako
 
Utatembeaje na hard cash laki nane night club? za nini??
Huwezi hata kumanage unywaji wako? Unakunywa na kulala baa !!
 
Utatembeaje na hard cash laki nane night club? za nini??
Huwezi hata kumanage unywaji wako? Unakunywa na kulala baa !!

Lakini nimeshafungua kesi tayari. Hivi sheria inasemaje juu ya mtu kuibiwa club?
 
Ijumaa iliyopita niliamua kuwatembelea baada ya kusikia sifa zenu. Kwa kweli nilichokutana nacho ni matatizo ya hali ya juu. Baada ya kupiga ndovu nane niliamua kujipumzisha counter na kupitiwa na usingizi. Baada ya kuamka nilijikuta sina laki nane zangu, sina saaa na blackberry yangu ikawa imenitoka. Kama mnataka kupata wateja basi jaribuni kuimarisha ulinzi, vinginevyo mtapoteza wateja wenu hivihivi

inaonekana hujakua,limbukeni,mshamba na unatafuta sababu uingiliwe kinyume na maumbile usingizie pombe!
 
Mwita, hebu acha kuanzisha thread za kitoto hapa!
Utatukanwa halafu useme cdm wamekutukana.
Stop this nonsense!
 
Pole sana ila umehakikisha vizuri kama hakuna kitu kingine wamechukua?
Next time usibebe hela nyingi hivyo...uambatane na mwenzio ili aweze kukulinda...
 
Mwita, hebu acha kuanzisha thread za kitoto hapa!
Utatukanwa halafu useme cdm wamekutukana.
Stop this nonsense!

Mkuu nimekufuatilia muda mrefu sana kwa kuniita sijui Mwita mara oooh Mwita25, mimi sijaelewa bado haya majina umeyatoa wapi lakini nimesharipoti tabia yako kwa mods.
 
Ijumaa iliyopita niliamua kuwatembelea baada ya kusikia sifa zenu. Kwa kweli nilichokutana nacho ni matatizo ya hali ya juu. Baada ya kupiga ndovu nane niliamua kujipumzisha counter na kupitiwa na usingizi. Baada ya kuamka nilijikuta sina laki nane zangu, sina saaa na blackberry yangu ikawa imenitoka. Kama mnataka kupata wateja basi jaribuni kuimarisha ulinzi, vinginevyo mtapoteza wateja wenu hivihivi
Huwezi kumshitaki mtu utathibitisha vipi uliingia na hivyo vitu ? ulionyesha mlangoni ? tena una bahati kuna vijana pale wangedai we ndugu yao wanakupeleka nyumbani baada ya kukunukisha madawa ya kulevya,na kuishia kukuoa bila mahari wala sherehe.
 
Samahanini wakuu mtoa mada ameshakula ban. Bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake libarikiwe. Amen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom