Bila ya kushawishia na mtu nataka kuroot simu yangu

memory card

JF-Expert Member
Dec 17, 2013
252
153
Baada ya kusoma sana prons and cons ya kuroot nimegundua wengi wanaojuta baada ya kuroot huwa wana delete system file la simu sasa kwa hiari yangu bila ya kushawishia na mtu nataka kuroot simu yangu na sitafanya kosa la kudelete application yoyote ambayo ipo kwa simu.

NIA YANGU YA KUROOT KUNA VIRUS WAWILI WANANITIBUA MMOJA ANAITWA "ENGRIKS NA MWENZIE PRO"yaani hawa watu nikiwaunistall hawatoki nimeweka cm security,stubborn trojan killer,360 wapi....ila stubborn trojan killer inanambia ni root simu.

HIVYO YAANI!
 
Ni nimeroot tablet yangu nakula tu raha root ni mzuri ila ukifanya mistake unajuta
507035b5b7c2b78460655b2d216a21bf.jpg
 
kwa kuongezea naomba app ambayo itanisaidia kufanikisha hilo nimetumia kingoroot imeenda hadi 90% ikafail ,baidu root tool imegoma kwa hiyo naombeni mbadala wakuuu
 
kwa kuongezea naomba app ambayo itanisaidia kufanikisha hilo nimetumia kingoroot imeenda hadi 90% ikafail ,baidu root tool imegoma kwa hiyo naombeni mbadala wakuuu
Binafs naitumiaga sana king root hii ni mzuri sana kwa simu za tecno
 
kwa kuongezea naomba app ambayo itanisaidia kufanikisha hilo nimetumia kingoroot imeenda hadi 90% ikafail ,baidu root tool imegoma kwa hiyo naombeni mbadala wakuuu
Hiyo kingo root ni app ya simu au umetumia computer? Ukitumia computer ni nzuri uwezo wake unaongezeka. Jaribu.
 
Kinachowafanya wengi waharibu simu wakati wa kuroot ni haraka na kiherehere. Mimi jana tu nimeroot Samsung Galaxy S5. Sasa naenjoy tuu..
Screenshot_2016-04-19-07-39-40.png
Screenshot_2016-04-19-07-39-33.png
 
Trojan kwenye Android. Kwa miaka yangu 5 ya kutumia android sijawahi sikia wala kupata trojan, tena mimi ni mzee wa kuinstall application tofauti na playstore, kuroot simu zangu zote tokea enzi za Huawei Ideos za tigo hadi simu yangu ya sasa na kuweka ma custom rom, custom kernel n.k

Hilo Mkuu ni changa la macho unapigwa na hizo software za "anti virus" kama kweli una trojan Njia rahisi ni kureinstall OS nzima tena ni process rahisi sana.
 
kwa mliofanikiwa kwann msitoe msaada kuanzia software name na maelekezo mengine?
ukigoogle kuna maelekezom mengi sanaa kutoka kwa watu mbalimbali waliowahifanya hilo zoezi...ni kitu rahisi na ni hatari vilevile iwapo hutakuwa makini na kufuata maelekezo kama inavyotakiwa. Sasa binafsi napenda mtu agoogle na kufanya mwenyewe kama mimi nilivyofanya.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom