Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
vyama vinavyosherehekea watu kukatwa miko kamwe havita ingia ikulu kwa ridhaa ya vote, rabda vimwage damu.
Hapo umenena Nguvumali!
Mudhiri Mudhir ambaye alijichafua mwenyewe kwenye sakata la Mkataba wa Buzwagi pale alipolishinikiza Bunge kumsimamisha Zito Kabwe kwa kufichua ufisadi uliokuwa unaendelea serikalini JK bado anamwona ni lulu hapa nchini.
Katika hali ya kuonyesha kiburi kisicho na mwisho, Jk amegangamala kuwapigia debe wagombea wa CCM kama akina Rostam Aziz, Edward Lowassa, Basil Pesambili Mramba na wengineo wengi ambao katika utawala wa Jk walikumbwa na Kashfa nyingi nzito.
La kushangaza ni pale JK anapoona ili kuua makundi ya chama chake cha mafisadi ni kuwapiga changa kama akina Mudhir ambao siyo wasafi hata kidogo.
Lakini safari hii, wapigakura tumesema hatudanganyiki...........
Soma Uhuru ya leo kwa habari za nyongeza kwenye habari hii ingawaje zimeficha ukweli huu nilioutoboa hapa...............
Mudhiri Mudhir ambaye alijichafua mwenyewe kwenye sakata la Mkataba wa Buzwagi pale alipolishinikiza Bunge kumsimamisha Zito Kabwe kwa kufichua ufisadi uliokuwa unaendelea serikalini JK bado anamwona ni lulu hapa nchini.
Katika hali ya kuonyesha kiburi kisicho na mwisho, Jk amegangamala kuwapigia debe wagombea wa CCM kama akina Rostam Aziz, Edward Lowassa, Basil Pesambili Mramba na wengineo wengi ambao katika utawala wa Jk walikumbwa na Kashfa nyingi nzito.
La kushangaza ni pale JK anapoona ili kuua makundi ya chama chake cha mafisadi ni kuwapiga changa kama akina Mudhir ambao siyo wasafi hata kidogo.
Lakini safari hii, wapigakura tumesema hatudanganyiki...........
Soma Uhuru ya leo kwa habari za nyongeza kwenye habari hii ingawaje zimeficha ukweli huu nilioutoboa hapa...............