Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Huu si uchochezi. Atakayeona hivyo, basi na aone hivyo.
Ni ukweli.
Wananchi wanaamua hivi, kikundi kidogo kabisa cha mabepari/mafirauni wanaamua vinginevyo wanavyotaka kwa maslahi binafsi.
Hakuna demokrasia Tanzania.
Sasa tuamue...kama tunajitoa muhanga au tuache tukilia kwenye miba wakati wenzetu wachache wakitutawala kwa mabavu na kuishi maisha ya peponi.
Ni ukweli.
Wananchi wanaamua hivi, kikundi kidogo kabisa cha mabepari/mafirauni wanaamua vinginevyo wanavyotaka kwa maslahi binafsi.
Hakuna demokrasia Tanzania.
Sasa tuamue...kama tunajitoa muhanga au tuache tukilia kwenye miba wakati wenzetu wachache wakitutawala kwa mabavu na kuishi maisha ya peponi.