Bila vyama vingi hakuna NEC, hakuna msajiri wa vyama vya siasa, hakuna CCM na hakutakuwa na posho wala ruzuku ya chama

GAGL

JF-Expert Member
Aug 5, 2010
387
391
Wewe kama ni mwanachama wa ccm na unashabikia upinzani kufutika basi jaribu kuwafikiria ndugu zako wanaofanya kazi NEC, wanaofanya kazi ofisi ya msajiri wa vyama vya siasa. Lakini wafikirie wale wanaoishi kwa kutegemea ruzuku ya chama maana baada ya upinzani kufa nafasi za utendaji zote za ccm zitakufa pia. Hata Polepole atapoteza nafasi yake. Ni vema mkashiriki kuimarisha upinzani ili baadhi ya vibarua viendelee kuwepo.
 
Wewe kama ni mwanachama wa ccm na unashabikia upinzani kufutika basi jaribu kuwafikiria ndugu zako wanaofanya kazi NEC, wanaofanya kazi ofisi ya msajiri wa vyama vya siasa. Lakini wafikirie wale wanaoishi kwa kutegemea ruzuku ya chama maana baada ya upinzani kufa nafasi za utendaji zote za ccm zitakufa pia. Hata Polepole atapoteza nafasi yake. Ni vema mkashiriki kuimarisha upinzani ili baadhi ya vibarua viendelee kuwepo.
 
Ahaaa mbona maelfu ya wafanyakazi hewa wamepoteza kazi lakini nchi inaenda mbele,kumbuka walikuwa wanategemewa na watu wengi.Haya leta hoja nyingine hii imeishia hapa Mkuu.
 
Kauli ya "ninawalipa mshahara ole wenu mtangaze chadema kashinda" ilitosha kabisa Chadema kususia hadi uchaguzi mkuu kisha waendeshe kampeni ya ku-echo hyo kauli ili jumuia ya kimataifa itambue kinachoendelea Tza. Wananchi tunaamini katika mageuzi na tupo tayari kwenda na Wanamageuzi wa huu mfumo mbovu!
 
Vyama vingi vitakuwepo kwa jina tu vile vya kina lyatonga na mzee mapesa
Wewe kama ni mwanachama wa ccm na unashabikia upinzani kufutika basi jaribu kuwafikiria ndugu zako wanaofanya kazi NEC, wanaofanya kazi ofisi ya msajiri wa vyama vya siasa. Lakini wafikirie wale wanaoishi kwa kutegemea ruzuku ya chama maana baada ya upinzani kufa nafasi za utendaji zote za ccm zitakufa pia. Hata Polepole atapoteza nafasi yake. Ni vema mkashiriki kuimarisha upinzani ili baadhi ya vibarua viendelee kuwepo.
 
Kauli ya "ninawalipa mshahara ole wenu mtangaze chadema kashinda" ilitosha kabisa Chadema kususia hadi uchaguzi mkuu kisha waendeshe kampeni ya ku-echo hyo kauli ili jumuia ya kimataifa itambue kinachoendelea Tza. Wananchi tunaamini katika mageuzi na tupo tayari kwenda na Wanamageuzi wa huu mfumo mbovu!
Hakika KAMANDA Hakika KAMANDA Hakika KAMANDA
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom