Hakuna kitu hapo, sisi tunataka katiba mpya haya mengine ni kutaka tu kutuondoa kwenye reli na katu hatutoki.
Sheria nyingi hizi za kidhalimu zilitungwa na serikali ya ccm lengo kubwa likiwa ni kuwakomoa wapinzani, hakuna kitu kingine.
Kuna kipindi mbunge moja wa ccm wa jimbo la Kishapo alipatikana na silaha haramu kinyume cha sheria lakini hakufanywa chochote sasa tuchukulie kama angekuwa ni wa Chadema....malizieni wenyewe.
Samia anatafuta tu namna ya kuungwa mkono na nchi wafadhili kwa sababu nchi iko taabani kiuchumi ndio maana anafanya haya pamoja na kuyafungulia magazeti waliyoyafungia wenyewe. Wadanganye wajinga huko huko ccm.
Sheria nyingi hizi za kidhalimu zilitungwa na serikali ya ccm lengo kubwa likiwa ni kuwakomoa wapinzani, hakuna kitu kingine.
Kuna kipindi mbunge moja wa ccm wa jimbo la Kishapo alipatikana na silaha haramu kinyume cha sheria lakini hakufanywa chochote sasa tuchukulie kama angekuwa ni wa Chadema....malizieni wenyewe.
Samia anatafuta tu namna ya kuungwa mkono na nchi wafadhili kwa sababu nchi iko taabani kiuchumi ndio maana anafanya haya pamoja na kuyafungulia magazeti waliyoyafungia wenyewe. Wadanganye wajinga huko huko ccm.