Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Nimejaribu kufatilia mdahalo kuhusu uchaguzi wa jimbo la Kinondoni kitu nilichogundua kama upinzani waliweza kushinda Kata 8 na CCM kata mbili lakini pia kama uchaguzi mkuu upinzani wana mtaji wa kura elfu 75 na 64.
Ni dhahiri CCM itaanguka uchaguzi huu katika mtaji wa kura elfu 75 hapo kuna za CUF, CHADEMA kwa pamoja walivyoungana na kushinda jimbo.
Baada ya kuzungumza haya turudi katika UKAWA ambapo kuna mpasuko mkubwa kati ya wafuasi wa upinzani wanaoiunga mkono kupitia Mbowe na wafuasi wa upinzani wanamuunga mkono.
Lipumba CHADEMA upande wa Mbowe wanaona bora abaki CHADEMA
kwa sababu hawana imani na Lipumba na CUF wanaomuunga mkono Lipumba.
Hadi sasa kitendawili kuhusu ni nani atayesimama kupambana CCM kama CHADEMA au CUF kupitia Jimbo la Kinondoni.
Hakika huu ni mtihani mkubwa sana kupata majibu lakini kwa maoni yangu CUF either iwe ya Lipumba wawachie jimbo wapambane wenyewe, CHADEMA
wajitoe tuu kwa sababu CUF anajaribu kurudisha Jimbo la Kinondoni.
Ni dhahiri CCM itaanguka uchaguzi huu katika mtaji wa kura elfu 75 hapo kuna za CUF, CHADEMA kwa pamoja walivyoungana na kushinda jimbo.
Baada ya kuzungumza haya turudi katika UKAWA ambapo kuna mpasuko mkubwa kati ya wafuasi wa upinzani wanaoiunga mkono kupitia Mbowe na wafuasi wa upinzani wanamuunga mkono.
Lipumba CHADEMA upande wa Mbowe wanaona bora abaki CHADEMA
kwa sababu hawana imani na Lipumba na CUF wanaomuunga mkono Lipumba.
Hadi sasa kitendawili kuhusu ni nani atayesimama kupambana CCM kama CHADEMA au CUF kupitia Jimbo la Kinondoni.
Hakika huu ni mtihani mkubwa sana kupata majibu lakini kwa maoni yangu CUF either iwe ya Lipumba wawachie jimbo wapambane wenyewe, CHADEMA
wajitoe tuu kwa sababu CUF anajaribu kurudisha Jimbo la Kinondoni.