abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,292
- Thread starter
- #281
Sikatai sababu nyie chadema ni vibunzi kila Rais mnamuona dikteta kwa kua anawaongoza na nyie mnajiona viongozi hamtakiw kuongozwa ivi Chadema mtaweza kuniaminisha vip kua mna akil kama mnawajua viongoz wote wa Africa ni madikteta alafu mbowe ni mwana demokrasia?Afrika ina madikteta wengi lakini ni ya mwisho katika kila nyanja.Huo mfano wa Kagame hausadifu hali halisi,labda kama unampenda tu.