mkulungwa03
JF-Expert Member
- Apr 1, 2021
- 317
- 243
Ndoa-bila-subra-imani-na-mahaba, huezi ishi kwa ndoa
1. Kama huna subra kwa ndoa yako basi huezi kuishi kwa ndoa na amani ndoa yajengwa na subra kusubiriyana kila moja wenu amsubiriee mwenzake kwa tabia kwa hali na mali ndio mutaeza faidika mukiwa na subraa kwa ndoa yenu ,, jitahidi uwee na subra sana .
2. Imani kuaa naimani kwa ndoa yako muhimu sana yazidishs mahaba na yazidisha upendo. Ukiwa na imani na mwenza wako kwa hali yake mutazidi kupendana mutazidi kuipaa ndoa yenu nguvuu .
3. Mahaba . Yajenga kuwa na uvumilivu kwa ndoa rahaa ya ndoa uwe na mahaba na mwenzako wamuonesha mahaba wamjali na wamsikiza na humkosei na wamuhishimu mwenzanko bila mahaba hutojua utamu wa ndoa.
Kuongezea pia kulinda na kuficha aibu madogo na hata kubwa ya mwenza wako .Kila binaadamu sikamili ana kasoro zakee nimuhimu kumvumilia aibu ya mwenzako na kutotoa injee hataa kwa familiaa yakoo usitoee kabisa.Ndoa-bila-subra-imani-na-mahaba,,, huezi ishi kwa ndoa
1. Kama huna subra kwa ndoa yako basi huezi kuishi kwa ndoa na amani ndoa yajengwa na subra kusubiriyana kila moja wenu amsubiriee mwenzake kwa tabia kwa hali na mali ndio mutaeza faidika mukiwa na subraa kwa ndoa yenu ,, jitahidi uwee na subra sana .
2. Imani kuaa naimani kwa ndoa yako muhimu sana yazidishs mahaba na yazidisha upendo. Ukiwa na imani na mwenza wako kwa hali yake mutazidi kupendana mutazidi kuipaa ndoa yenu nguvuu .
3. Mahaba . Yajenga kuwa na uvumilivu kwa ndoa rahaa ya ndoa uwe na mahaba na mwenzako wamuonesha mahaba wamjali na wamsikiza na humkosei na wamuhishimu mwenzanko bila mahaba hutojua utamu wa ndoa.
Kuongezea pia kulinda na kuficha aibu madogo na hata kubwa ya mwenza wako .Kila binaadamu sikamili ana kasoro zakee nimuhimu kumvumilia aibu ya mwenzako na kutotoa injee hataa kwa familiaa yakoo usitoee kabisa.Ndoa-bila-subra-imani-na-mahaba,,, huezi ishi kwa ndoa