Kapela Msonda
Member
- May 29, 2009
- 39
- 11
Siuoni uhai wa CCM au msingi wa CCM kuendelea kuungwa mkono bila chachandu za hapa na pale za Sitta na wanaharakati wenzake ndani ya CCM zinazotoa matumaini kwa wanyonge. CCM ijaribu kuwaweka pembeni akina Sitta, Nape, Ole-Sendeka, Mwakyembe, Anne-Kilango, Nyalandu, Lembeli, Lugola n.k. halafu ibaki na akina Bashe, Serukamba, Januari, Lowassa, Chenge, Anna Makinda, Somaiya, Anna Abdalla, Sofia Simba, Shubash, Chikawe, Ngeleja, Kingunge, Jeetu Patel, Nchimbi, Guninita n.k. itakufa kifo cha mende!