Bila Sitta na Wanaharakati Wenzake, hivi kutakuwa na CCM kweli?

Kapela Msonda

Member
May 29, 2009
39
11
Siuoni uhai wa CCM au msingi wa CCM kuendelea kuungwa mkono bila chachandu za hapa na pale za Sitta na wanaharakati wenzake ndani ya CCM zinazotoa matumaini kwa wanyonge. CCM ijaribu kuwaweka pembeni akina Sitta, Nape, Ole-Sendeka, Mwakyembe, Anne-Kilango, Nyalandu, Lembeli, Lugola n.k. halafu ibaki na akina Bashe, Serukamba, Januari, Lowassa, Chenge, Anna Makinda, Somaiya, Anna Abdalla, Sofia Simba, Shubash, Chikawe, Ngeleja, Kingunge, Jeetu Patel, Nchimbi, Guninita n.k. itakufa kifo cha mende!

 
Siuoni uhai wa CCM au msingi wa CCM kuendelea kuungwa mkono bila chachandu za hapa na pale za Sitta na wanaharakati wenzake ndani ya CCM zinazotoa matumaini kwa wanyonge. CCM ijaribu kuwaweka pembeni akina Sitta, Nape, Ole-Sendeka, Mwakyembe, Anne-Kilango, Nyalandu, Lembeli, Lugola n.k. halafu ibaki na akina Bashe, Serukamba, Januari, Lowassa, Chenge, Anna Makinda, Somaiya, Anna Abdalla, Sofia Simba, Shubash, Chikawe, Ngeleja, Kingunge, Jeetu Patel, Nchimbi, Guninita n.k. itakufa kifo cha mende!

Hoja hii inatekenya ubongo. Hivi CCM wenyewe wanalijua hilo? Sidhani, naona wako bize kuwatungia ngonjera ya kijinga ya CCJ. Ama kweli, sikio la kufa, halisikii dawa!
 
Siuoni uhai wa CCM au msingi wa CCM kuendelea kuungwa mkono bila chachandu za hapa na pale za Sitta na wanaharakati wenzake ndani ya CCM zinazotoa matumaini kwa wanyonge. CCM ijaribu kuwaweka pembeni akina Sitta, Nape, Ole-Sendeka, Mwakyembe, Anne-Kilango, Nyalandu, Lembeli, Lugola n.k. halafu ibaki na akina Bashe, Serukamba, Januari, Lowassa, Chenge, Anna Makinda, Somaiya, Anna Abdalla, Sofia Simba, Shubash, Chikawe, Ngeleja, Kingunge, Jeetu Patel, Nchimbi, Guninita n.k. itakufa kifo cha mende!
imekuwa kinyume sasa.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom