Joeli
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 4,941
- 3,402
siwezi kujua:
1. saa hizi ni saa ngapi..
2. leo ni tarehe ngapi..
3. namba hata moja ya simu
4. njia iko wapi umeme unapokatika ghafla
5. majibu ya haraka haraka kwenye quiz na assignments,
kiufupi simu yangu ni kama mkono wangu wa ziada...
ongezea hapo vitu gani bila simu yako ingekuwa ni miujiza kufanyika
1. saa hizi ni saa ngapi..
2. leo ni tarehe ngapi..
3. namba hata moja ya simu
4. njia iko wapi umeme unapokatika ghafla
5. majibu ya haraka haraka kwenye quiz na assignments,
kiufupi simu yangu ni kama mkono wangu wa ziada...
ongezea hapo vitu gani bila simu yako ingekuwa ni miujiza kufanyika