The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,873
mimi nafikiri jafarai kafanya uamuzi wa kiume
kagundua alikosea kumtukana ingawa aliumia
na sasa kagundua kuwa despite her faults,she is the one for him
na amerudi bila kujali jamii itasemaje...
kaamua kuwa sasa narudiana nae,the rest can go to hell
kagundua alikosea kumtukana ingawa aliumia
na sasa kagundua kuwa despite her faults,she is the one for him
na amerudi bila kujali jamii itasemaje...
kaamua kuwa sasa narudiana nae,the rest can go to hell