MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,478
- 20,394
Kwa huu utovu wa nidhamu anaounesha kwenye kila mtandao wa kijamii ni wakati muafaka wa yeye kuvuliwa uanachama kwa maslahi mapana ya CCM na taifa kwa ujumla.
Huwezi kumjibu Kiongozi kama unamjibu msela mwenzako Msigwa.
Nadhani inabidi huende Chadema sasa uone ni jinsi ilivyo vigumu kumchangia m/kiti kila mwezi wakati na yeye ana mshahara wake
Huwezi kumjibu Kiongozi kama unamjibu msela mwenzako Msigwa.
Nadhani inabidi huende Chadema sasa uone ni jinsi ilivyo vigumu kumchangia m/kiti kila mwezi wakati na yeye ana mshahara wake