Bila Rais Samia Suluhu, Freeman Mbowe angeozea jela. Upinzani fuateni sheria

Kaka yangu Freeman Mbowe Pole na hongera kwa kuachiwa huru kwa amri ya amiri jeshi mkuu wa majeshi yote Mhe Rais Samia Suluhu Hassan,

Karibu tena uraiani,Sisi Watanzania kwa sasa ni wamoja pengine kuliko wakati wowote wa historia ya Taifa hili.

Pole pia tumetaarifiwa unatatizo la kiafya,Tunakuombea kwa Mungu urejee katika utimamu wako wa kiafya.

Mhe Freeman Mbowe nikutonye kidogo," Hivi majuzi Viongozi wa kidini Tanzania waliomba kukutana na Rais wao kipenzi Mhe Samia Suluhu Hassan"

Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa Uchamungu wake alionao aliwakubalia na akawaita moja kwa moja Ikulu,Wakala na kunywa pamoja nae.

Pamoja na Mambo mengine viongozi wa dini Tanzania wakiongozwa na mufti mkuu wa Tanzania walikuombea msamaha kwa Mama Samia Suluhu Hassan ili uachiwe huru bila masharti hata kama wewe ni gaidi kweli.

Viongozi wa dini Tanzania wanataka nchi yao waliopewa na Mungu iwe sehemu salama kwa kila mtu kuishi ukiwemo wewe Freeman Mbowe unayetajwa kwa ugaidi,

Kaka yangu Freeman Mbowe unatambua kabisa Mahakama kuu chini ya Jaji Tiganga ilikukuta na hatia ya kufadhili na kutenda ugaidi Tanzania ( Ulikuwa na kesi ya kujibu).

Leo tunashuhudia unyenyekevu kwa Mungu na Taifa alionao Mama yetu Mhe Samia Suluhu Hassan ameamua bila wewe wala chama chako kumwomba msamaha kukuachia huru tena bila masharti yeyote.

Kwa jambo hili tu,Wewe Freeman Mbowe na Wapinzani wenzako lazima muelewe kuwa Tanzania imepata Rais Mpole na mnyenyekevu ever,

Lazima tuelewe Tanzania Tumepata Rais Mchamungu na Mtulivu wa moyo kwelikweli,

Rekodi zinaonesha tangu Taifa hili liwe huru hajawahi kupatikana Rais Mahiri na jasiri mwenye huruma kama Mhe Mama Samia Suluhu Hassan.

Naomba kukutaarifu kuwa wewe sio "Mwamba" kama wanavyokuita Chadema wenzio,Binafsi nakushauri na kukusihi kuwa makini na heshimu mamlaka zilizopo utakuwa salama wakati wote tofauti na hapo usijelaumu mtu.

Freeman Mbowe Wewe ni raia kama raia wengine na ukitenda au kurudia kosa utashughulikiwa kama raia wengine tunavyoshughulikiwa kwani kwenye Taifa hili hakuna yeyote aliye juu ya sheria.

Watanzania tunataka siasa zenye tija kwa kizazi hiki na kizazi kijacho na kamwe hatutavumilia utoroshaji wowote wa amani yetu kwani Sisi tuko tayari kuilinda kwa gharama yeyote hiyo "Amani" yetu

Wito wangu kwako na Chama Chako,mumuheshimu zaidi na kumshukuru sana Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wa dini wa Taifa hili kwani bila hawa ungekuta watoto wengine wasio wako.

Freeman Mbowe bila Rais Samia Suluhu Hassan hakika amini nakwambia ungeozea jela huku Wale wanaoishi nje wakiendelea kunywa na kula kuku za bure kwa hisani ya wazungu.

Mwisho, Mtanzania mwenzangu popote ulipo bila kujali itikadi ya Chama wala dini yako shituka sasa,

Huyu Rais ni Chaguo la Mungu lazima tumuunge mkono popote kwa chochote kwani haya anayoyafanya ni hakika hitaji la Mungu mwenyewe hata baba askofu Dkt Benson Bagonza ataungana na Mimi kwenye hili,

Mungu mbariki Rais Samia Suluhu
Mungu ibariki Tanzania yetu.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

View attachment 2138435

View attachment 2138436
Ujinga mzigo kwa kesi Gani sasa
 
Hiki siyo kitendawili - ilishaonekana wazi kuwa kesi hiyo ni ya kisiasa na ya kuchonga. Ebu fikiria kwa nini akina Kidando walitaka kujua mashahidi wa utetezi ni akina nani na anwani zao? Unajua waliponyimwa waliingia gizani bila kujua nani wataitwa, Unakumbuka pia kuna ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka na wakati huo huo na upande wa utetezi akina Kibatala nao wakasema watatumia ushahidi huo huo? Uliwahi kujiuliza mantiki yake?
Ebu fikiria kwa mfano kama Rais angeitwa mahakamani kuja kuthibitisha kauli yake kuwa katika kesi ile tayari kuna wenzake Mbowe walishahukumiwa na wanatumikia kifungo chao! Kama asingejibu ilikuwa ni siasa angejibu nini. Kumbuka angesimamia hoja yake kuwa kuna watu walisha fungwa ingebidi awataje na kesi ilikuwa namba ngapi. Na kama yeye angeaminika, then ushahidi wote uliotangulia ungeonekana ni wa uongo maana kuanzia mpepelezi mkuu nk walisema hakuna aliyekwisha fungwa katika suala hilo'
Contradiction zote hizi ndizo zililazimisha kutumika kwa busara kumaliza kesi hiyo
Kumbuka kuwa wengi walioongea kesi na Rais, walimuomba itumike busara kuimaliza. Suala la msamaha Mbowe mwenyewe alilikataa maana msamaha hutolewa baada ya kuoneka na una hatia na kufungwa.
Kama alikataa msamaha mbona alikubali kutoka?
 
Hakika.....

Angeozea jela.....

Mh.rais SSH ana huruma sanaaaa....

Mwenyezi Mungu amlinde ,ambariki ,ampe afya njema na umri mrefu aaamin aaaamin aaaamin aaaamin🙏

#Siempre JMT🙏
#Siempre CCM🙏
Ameogopa maswali ya kibatala
 
Na bila huyo huyohuyo rais Freeman Mbowe asingekwenda jela, Sasa sijui angeozeaje huko jela?
Au ndio ile tabia ya kutengeneza tatizo kisha kuigiza kulitatua ili uonekane mwema? kama ndivyo amefeli kwani watu tunakumbukumbu sahihi juu ya kesi ya mbowe ilianza lini na ni nani alisisitiza kuwa wengine wameshafungwa.
 
Kaka yangu Freeman Mbowe Pole na hongera kwa kuachiwa huru kwa amri ya amiri jeshi mkuu wa majeshi yote Mhe Rais Samia Suluhu Hassan,

Karibu tena uraiani,Sisi Watanzania kwa sasa ni wamoja pengine kuliko wakati wowote wa historia ya Taifa hili.

Pole pia tumetaarifiwa unatatizo la kiafya,Tunakuombea kwa Mungu urejee katika utimamu wako wa kiafya.

Mhe Freeman Mbowe nikutonye kidogo," Hivi majuzi Viongozi wa kidini Tanzania waliomba kukutana na Rais wao kipenzi Mhe Samia Suluhu Hassan"

Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa Uchamungu wake alionao aliwakubalia na akawaita moja kwa moja Ikulu,Wakala na kunywa pamoja nae.

Pamoja na Mambo mengine viongozi wa dini Tanzania wakiongozwa na mufti mkuu wa Tanzania walikuombea msamaha kwa Mama Samia Suluhu Hassan ili uachiwe huru bila masharti hata kama wewe ni gaidi kweli.

Viongozi wa dini Tanzania wanataka nchi yao waliopewa na Mungu iwe sehemu salama kwa kila mtu kuishi ukiwemo wewe Freeman Mbowe unayetajwa kwa ugaidi,

Kaka yangu Freeman Mbowe unatambua kabisa Mahakama kuu chini ya Jaji Tiganga ilikukuta na hatia ya kufadhili na kutenda ugaidi Tanzania ( Ulikuwa na kesi ya kujibu).

Leo tunashuhudia unyenyekevu kwa Mungu na Taifa alionao Mama yetu Mhe Samia Suluhu Hassan ameamua bila wewe wala chama chako kumwomba msamaha kukuachia huru tena bila masharti yeyote.

Kwa jambo hili tu,Wewe Freeman Mbowe na Wapinzani wenzako lazima muelewe kuwa Tanzania imepata Rais Mpole na mnyenyekevu ever,

Lazima tuelewe Tanzania Tumepata Rais Mchamungu na Mtulivu wa moyo kwelikweli,

Rekodi zinaonesha tangu Taifa hili liwe huru hajawahi kupatikana Rais Mahiri na jasiri mwenye huruma kama Mhe Mama Samia Suluhu Hassan.

Naomba kukutaarifu kuwa wewe sio "Mwamba" kama wanavyokuita Chadema wenzio,Binafsi nakushauri na kukusihi kuwa makini na heshimu mamlaka zilizopo utakuwa salama wakati wote tofauti na hapo usijelaumu mtu.

Freeman Mbowe Wewe ni raia kama raia wengine na ukitenda au kurudia kosa utashughulikiwa kama raia wengine tunavyoshughulikiwa kwani kwenye Taifa hili hakuna yeyote aliye juu ya sheria.

Watanzania tunataka siasa zenye tija kwa kizazi hiki na kizazi kijacho na kamwe hatutavumilia utoroshaji wowote wa amani yetu kwani Sisi tuko tayari kuilinda kwa gharama yeyote hiyo "Amani" yetu

Wito wangu kwako na Chama Chako,mumuheshimu zaidi na kumshukuru sana Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wa dini wa Taifa hili kwani bila hawa ungekuta watoto wengine wasio wako.

Freeman Mbowe bila Rais Samia Suluhu Hassan hakika amini nakwambia ungeozea jela huku Wale wanaoishi nje wakiendelea kunywa na kula kuku za bure kwa hisani ya wazungu.

Mwisho, Mtanzania mwenzangu popote ulipo bila kujali itikadi ya Chama wala dini yako shituka sasa,

Huyu Rais ni Chaguo la Mungu lazima tumuunge mkono popote kwa chochote kwani haya anayoyafanya ni hakika hitaji la Mungu mwenyewe hata baba askofu Dkt Benson Bagonza ataungana na Mimi kwenye hili,

Mungu mbariki Rais Samia Suluhu
Mungu ibariki Tanzania yetu.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

View attachment 2138435

View attachment 2138436
huo ni ujinga mtupu mbowe aliku na kosa gani zaidi ya kubambikiwa kesi?
 
Eti wapinzani fuateni sheria, pumbaf kabisa wewe na mleta mada hizi arrogance sijui mnatoa wapi au ni kukosa akili tuu
 
Kaka yangu Freeman Mbowe Pole na hongera kwa kuachiwa huru kwa amri ya amiri jeshi mkuu wa majeshi yote Mhe Rais Samia Suluhu Hassan,

Karibu tena uraiani,Sisi Watanzania kwa sasa ni wamoja pengine kuliko wakati wowote wa historia ya Taifa hili.

Pole pia tumetaarifiwa unatatizo la kiafya,Tunakuombea kwa Mungu urejee katika utimamu wako wa kiafya.

Mhe Freeman Mbowe nikutonye kidogo," Hivi majuzi Viongozi wa kidini Tanzania waliomba kukutana na Rais wao kipenzi Mhe Samia Suluhu Hassan"

Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa Uchamungu wake alionao aliwakubalia na akawaita moja kwa moja Ikulu,Wakala na kunywa pamoja nae.

Pamoja na Mambo mengine viongozi wa dini Tanzania wakiongozwa na mufti mkuu wa Tanzania walikuombea msamaha kwa Mama Samia Suluhu Hassan ili uachiwe huru bila masharti hata kama wewe ni gaidi kweli.

Viongozi wa dini Tanzania wanataka nchi yao waliopewa na Mungu iwe sehemu salama kwa kila mtu kuishi ukiwemo wewe Freeman Mbowe unayetajwa kwa ugaidi,

Kaka yangu Freeman Mbowe unatambua kabisa Mahakama kuu chini ya Jaji Tiganga ilikukuta na hatia ya kufadhili na kutenda ugaidi Tanzania ( Ulikuwa na kesi ya kujibu).

Leo tunashuhudia unyenyekevu kwa Mungu na Taifa alionao Mama yetu Mhe Samia Suluhu Hassan ameamua bila wewe wala chama chako kumwomba msamaha kukuachia huru tena bila masharti yeyote.

Kwa jambo hili tu,Wewe Freeman Mbowe na Wapinzani wenzako lazima muelewe kuwa Tanzania imepata Rais Mpole na mnyenyekevu ever,

Lazima tuelewe Tanzania Tumepata Rais Mchamungu na Mtulivu wa moyo kwelikweli,

Rekodi zinaonesha tangu Taifa hili liwe huru hajawahi kupatikana Rais Mahiri na jasiri mwenye huruma kama Mhe Mama Samia Suluhu Hassan.

Naomba kukutaarifu kuwa wewe sio "Mwamba" kama wanavyokuita Chadema wenzio,Binafsi nakushauri na kukusihi kuwa makini na heshimu mamlaka zilizopo utakuwa salama wakati wote tofauti na hapo usijelaumu mtu.

Freeman Mbowe Wewe ni raia kama raia wengine na ukitenda au kurudia kosa utashughulikiwa kama raia wengine tunavyoshughulikiwa kwani kwenye Taifa hili hakuna yeyote aliye juu ya sheria.

Watanzania tunataka siasa zenye tija kwa kizazi hiki na kizazi kijacho na kamwe hatutavumilia utoroshaji wowote wa amani yetu kwani Sisi tuko tayari kuilinda kwa gharama yeyote hiyo "Amani" yetu

Wito wangu kwako na Chama Chako,mumuheshimu zaidi na kumshukuru sana Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wa dini wa Taifa hili kwani bila hawa ungekuta watoto wengine wasio wako.

Freeman Mbowe bila Rais Samia Suluhu Hassan hakika amini nakwambia ungeozea jela huku Wale wanaoishi nje wakiendelea kunywa na kula kuku za bure kwa hisani ya wazungu.

Mwisho, Mtanzania mwenzangu popote ulipo bila kujali itikadi ya Chama wala dini yako shituka sasa,

Huyu Rais ni Chaguo la Mungu lazima tumuunge mkono popote kwa chochote kwani haya anayoyafanya ni hakika hitaji la Mungu mwenyewe hata baba askofu Dkt Benson Bagonza ataungana na Mimi kwenye hili,

Mungu mbariki Rais Samia Suluhu
Mungu ibariki Tanzania yetu.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

View attachment 2138435

View attachment 2138436
Kumbuka Kuna DIKTEKA UCHWARA yy anaozea kaburini....
Mungu fundi.
 
Back
Top Bottom