Bila Rais Magufuli kuongea, Wapinzani huwa wanakosa cha kujadili mtandaoni

Wewe angalia hotuba za, kina Mbowe wanajitutumua kuongea Hakuna anayejali
Hata Bavicha hawafuatilii hotuba za mwenyekiti wao

Ila Rais Magufuli akizungumza wananunua na bando Kabisa kuja kujadili hotuba za Baba Magufuli
Leo anahutubia mwenyekiti wao ashaanza?
 
Hawa watu wanaboa kwa kweli hawana hoja ya maana zaidi ya kusubiri Rais Magufuli aongee Kitu wapate umbeya wa kujadili mtandaoni na kutoa Matusi ya kudhalilisha

Ila kwa ufupi ni weupe sana, hawana hoja wamejikita kwenye kutukana
Majibu watayapata oktoba mkuu!

Na mimi namshauri Mkulu aendelee kuwa kimya hivihivi alafu ikifika oktoba anawabonda kirahisi kabisa, maana hayajitambui.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka sasa wapinzani ; usione hasira hizi bado wana maluweluwe bado hawajajua walishindwaje 2015 na mpaka sasa hawajui watawaambia nini wanachama wao wachache wavumilivu waliobaki nao,
 
Mkuu hawa Wapinzani tunatakiwa tuwaeleweshe taratibu wataelewa tu

Wana midomo michafu sana ila tuwavumilie tu

Wenyewe wanafikiri Rais wa Nchi ni km kijiwe chao pale ufipa
Unampangia pa kukaa? Au to evidence kutoka kwenye katiba vifungu vip kuonuesha kuwa amekosea,Tatizo mmekariri Rais ana majuku!u mengi zaidi ya Korona hilo amemamchia Waziri husika,

Mbona kiongozi wa UN haongelei korona anaueongea ni Kiongozi wake mdogo wa WHO? Acha kukalili
 
hatumpangii pa kukaa ila tunasema nini cha kufanya (Refer katiba imemp kila mtu uhuru wa kujieleza) kwanini akae chatto nchi iko hatarini kupoteza mamia ya watu ? We huoni ina leta picha ya dharau hizo tena na mpka kahawa alikua anakunywa kipind hiki hiki ch corona
.
UN na WHO wapi na wapi Sasa?? We vipi
Chato ni nje ya nchi eti ee?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hatumpangii pa kukaa ila tunasema nini cha kufanya (Refer katiba imemp kila mtu uhuru wa kujieleza) kwanini akae chatto nchi iko hatarini kupoteza mamia ya watu ? We huoni ina leta picha ya dharau hizo tena na mpka kahawa alikua anakunywa kipind hiki hiki ch corona
.
UN na WHO wapi na wapi Sasa?? We vipi
Kwani hiyo kazi aliyopewa waziri mkuu kusimamia Korona haiwezi(Waziri mkuu na Waziri wa Afuya)?
Unajua wamegawana vip hayo majukumu?

Akisimamia waziri mkuu hayo mambo na yeye akawa mshauri Mkuu kipi kitaaribika?
Na swala la kunywa chai ai kahawa wewe haunywi?

Hivi unaweza niambia hata mikakati ambao hawajapanga au waliyopanga?

Tena Rais anapaswa kulindwa kwa nguvu zote kuliko hata waziri mkuu hilo nalo umesahau ivo unadhani akiugua korona hii nnchi itaendaje?

Ukweli upo wazi, hauna point ya msingi, Akiwa chato kazi anafanya kama kawaida, ana mambo !mengi anafanya ya kiofisi, na anawasaidizi wake,ana kazi nyingi kuliko korona.
 
Ni wazi kuwa Wapinzani wa Tanzania wanamkubali sana jemadari Magufuli

Ukifuatilia kwa umakini Rais akikaa kimya wiki moja tu, wanaokuwa na akshi ya kuulizia Rais yupo wapi ni Wapinzani

Mitandaoni huwa wanakosa cha kujadili, Rais Magufuli huwa akitoa maneno mafupi tu hugeuka mjadala kwa Wapinzani kwani wenyewe huwa hawana ajenda

Katika janga hili la corona ambalo bado lipo level ya Waziri Mkuu na linashughulikiwa ipasavyo

Kwa wasio jua ukubwa wa majanga na jinsi ya kuyashughulikia tayari kila Siku wanataka Makamu wa Rais au Rais aongee

Niwaambie Hii corona chini ya ofisi ya Waziri Mkuu inashughulikiwa ipasavyo na tutaishinda

Haina haja ya kutua kwa Mkuu wa Nchi, yeye atabaki kuwa Mshauri Mkuu tu na inavyolekea corona itathibitiwa vizuri sana

Rais Magufuli si mtu wa kukurupuka ni mtu makini sana pengine kwa Sasa Africa ndiye Rais bora kuliko wote

Angalia aghalabu Nchi ya China, Rais wao alitoa hotuba mbili tu tangu kuanza kwa corona hadi kumalizika kwa corona

Suala la corona lilikuwa Chini ya Waziri Mkuu wa China

Kwahiyo Wapinzani hata km mnam miss Rais Magufuli vuteni subira ataongea tu na Watanzania Kwani anawapenda sana Watanzania

Pia ni washauri Wapinzani wawe na ajenda zao, sio kusubiri Rais aongee ndio wapate ajenda mtaendelea kuitwa Wapinzani hadi uzee wenu

Tuendelee kuchukua tahadhari katika kumwangamiza corona.
Kazi zinaendelea watu wanaenda maofisini kama kawaida, ni haki ya wananchi kujua rais waliyemchagua yuko wapi na anafanya nn.

Kipindi hiki hana likizo maana akiwa likizo huwa tunataarifiwa na pia kuambiwa anayofanya wakati wake wa likizo.

Ni haki yako kufahamu alipo kwa nini na anafanya nn.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu timtimue busara kuwaelewesha hawa Ndugu zetu ni kuchukua tahadhari tu mana wanajua sana kuporomosha matusi

Hawa hawana jema kila kitu ni kutukana tu utafikiri hawana Wazazi
ha ha na ha ha ha kumbe jamaa amesema ukweli nyinyi ni wazee wakitukana,sasa akili moja kivip ha ha ha huna hoja. Bia yetu@
 
Back
Top Bottom