Ina maana muafaka waliofikia Ccm na Cdm huna imani nao ?..Naunga mkono hoja.
Ina maana muafaka waliofikia Ccm na Cdm huna imani nao ?
Sasa hv ni mwendo wa masega tu yaliyojaa asali,na mwendo wa kumsifia mama,alafu unakuwa na vibe la kinafiki wafuasi wako hasa wale ambao ni slow learners ambao ndio wengi Tanzania ya leo wanaona umewasha moto balaa kumbe ww unaujua mchezo mlioridhiana,ila wenye Akili ambao ni wachache wanatulia tu wanaona jinsi slow learners wanavyotoa bovu kwa mavibe ya kinafiki kutoka kwa viongozi wasijue kwamba masega yaliyojaa asali yalishaliwa zamani.Kazi tunayo ndugu zangu.Mambo yanaumiza sana nchi hii basi tu.Mbowe ataongezewa Sega jingine lenye asali anyamaze.