Elisha Sarikiel
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 889
- 1,515
Kwa mujibu wa vitabu vitakatifu hili ni jambo zuri, nalo lakubalika mbele za Mungu wetu. Kwa mfano imeandikwa hivyo katika 1TIMOTHEO 2:1-4
“Basi, kabla ya mambo yote, nataka dua, na sala, na maombezi, na shukrani, zifanyike kwa ajili ya watu wote; kwa ajili ya WAFALME NA WOTE WENYE MAMLAKA, tuishi maisha ya utulivu na amani, katika utauwa wote na ustahivu; ................”
Zaidi soma makala hii Umuhimu wa maombi kwa Rais na wote wenye mamlaka katika nchi
“Basi, kabla ya mambo yote, nataka dua, na sala, na maombezi, na shukrani, zifanyike kwa ajili ya watu wote; kwa ajili ya WAFALME NA WOTE WENYE MAMLAKA, tuishi maisha ya utulivu na amani, katika utauwa wote na ustahivu; ................”
Zaidi soma makala hii Umuhimu wa maombi kwa Rais na wote wenye mamlaka katika nchi