Bila kuzuia bar za pombe, Corona inaimaliza Tanzania

Patriot

JF-Expert Member
Feb 11, 2008
5,698
4,693
Ni ajabu kwamba tumeshindwa kuelewa udhaifu wa mfumo wetu wa afya, tumeshindwa kuelewa baiolojia ya COVID-19, tumeshindwa kuzuia mizunguko ya binadamu au usambaaji wa COVID-19, tumeshindwa kuzuia sara zisizokuwa na faida katika maisha yetu. Kilicho simamia maamuzi ni siasa. Ukweli ni kwamba tutakwisha.

Serikali iwe sikivu. Tumefikia hatua hata nchi kama Burundi sasa inatufukuza! Burundi kwa utawala wa kisela! Hata kama itakuwaje, Tanzania tujitafakari!

Ni aibu kuendelea kuruhusu mikusanyiko ya kunywa pombe na kutegemea eti watu binafsi watajitambua. Uelewa wetu haufikii kiwango hicho, na kama ungefikia kiwango hicho, basi wenyewe tungeomba kufungiwa hata kusafiri.

NGONGEZA: Rais aliwahi kusema anayeugua kipindupindu, awekwe rumande. Imekuwaje Corona tunabembelezana na kutegemea uelewa wa raia tu!
 
hivi bar inaendwa na wa<tu wangapi?
kwann usiongelee kwenye nyumba za ibada makanisa na misikiti?
mimi naona hii inaeneza kwa kasi zaidi pamoja na masoko kuliko hata bar ambako wanaenda watu wachache sana
 
Mkuu funga baa yako ingia ndani jilockdown mpaka corona iishe usisubiri mpaka serikali isambaze wagambo kuja kuwasambaza kwa vilungu chukua tahadhari mapema
 
Majuzi nikasoma mwongozo uliotolewa na Waziri Mkuu!!

Nilipofika inapohusu baa, mwongozo unasema: Watu wawe waangalifu zaidi!!

Anyway, sie wengine hatunywi kwahiyo inawezekana hatujui lolote lile kuhusu baa!

But wait, hivi baa si ndo zile mtu anaenda ana-drive mwenyewe lakini anarudi anaendeshwa?

Hivi baa si ndo zile sehemu unaingia unabonga Kiswahili na baada ya muda unaanza kubonga lugha ya Malkia kwa kwenda mbele?!

Hivi si hapo kuna wengine wanasema "ngoja nikapoze koo tu" siku ya pili yake anashitukia kaacha mshahara wote wa mwezi?!

Anyway, cjui lolote kuhusu baa baa kwahiyo inawezekana kauli ya "watu wawe makini" ni applicable!

Na in fact sio baa tu... hivi serikali inaanzaje kui-entertain watu kujazana makanisani na misikitini kipindi kama hiki?!

I'm sorry Wana wa Yakobo, ukweli mchungu ni kwamba, lau kama Damu ya Yesu ingekuwa kinga na tiba ya magonjwa ya mlipuko, Mzungu asingewaletea habari za Yesu, NG'O... tena bure bure tu; THUBUTU!!

Bible ingekuwa na huo uwezo, yale maandiko yangekuwa full of complex mathematical formulas, models, complex languages na madudu mengine kibao ili mradi tu msielewe!!

Lau kama Quran ingekuwa tiba na kinga ya majanga mazito namna hii, Mwarabu asingewaletea kirahisi rahisi namna hiyo NG'O!!

Halafu Miafrika sijui ina akili gani... Yaani hawa hawa Wazungu na Waarabu viboko wawatandike, minyororo wawafunge kama ng'ombe, wawafanye watumwa na bado hapo hapo bado wawape precious scriptures itakayokuwa mwisho wa matatizo yenu yote... NYI MALOFA KWELI KWELI NYINYI!!
 
hivi bar inaendwa na wa<tu wangapi?
kwann usiongelee kwenye nyumba za ibada makanisa na misikiti?
mimi naona hii inaeneza kwa kasi zaidi pamoja na masoko kuliko hata bar ambako wanaenda watu wachache sana

Kwanza pombe zina sanitize koo na mwili... Kodi kubwa iko kwenye pombe tusigunge bar...nyumba za ibada ndio washauri wetu wakuu hao wachungaji wajasiria hivyo hatuwezi kuweazuia watanzania kusali ni hatari zaidi kuliko korona yenyewe.
 
Kama serikali itashindwa kuinforce usitegemee mtanzania utamwambia usikusanyike akakuelewa. Chukua hatua wewe na familia yako nyumbani.
 
Back
Top Bottom