Bila kutumia Ford Ranger, Jokate Mwegelo azunguka Kisarawe nzima kusikiliza kero za wananchi

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,482
20,426
Tofauti na vijana wengine ambao hawawezi kutembea kilomita 5 bila kutumia magari makubwa
13531445-5ea1-4418-a39c-953ab18c0507.jpg
106ba79b-7bab-4b2d-ac6b-6b6bf371249b.jpg
106ba79b-7bab-4b2d-ac6b-6b6bf371249b (2).jpg

Mwanadada Jokate DC wa kisarawe amepewa uchifu wa Kizaramo hasa kutokana na mchango mkubwa alioutoa kwa watu wa Kisarawe, baada ya kukamilisha kuzunguka wilaya nzima ya Kisarawa ,Jokate alishiriki uwekaji jiwe la msingi kuashiria kuanza kwa ujenzi wa madarasa matatu yanayojengwa na kampuni ya Yapi Merekezi kama moja ya majukumu ya kampuni hiyo kwa jamii (CSR) safari yote hii alitumia gari ndogo aina ya Suzuki Sierra mali ya wilaya ya Kisarawe.
Uongozi unaoacha alama
 
Tofauti na vijana wengine ambao hawawezi kutembea kilomita 5 bila kutumia magari makubwa
View attachment 960265View attachment 960266View attachment 960267
Mwanadada Jokate DC wa kisarawe amepewa uchifu wa Kizaramo hasa kutokana na mchango mkubwa alioutoa kwa watu wa Kisarawe, baada ya kukamilisha kuzunguka wilaya nzima ya Kisarawa ,Jokate alishiriki uwekaji jiwe la msingi kuashiria kuanza kwa ujenzi wa madarasa matatu yanayojengwa na kampuni ya Yapi Merekezi kama moja ya majukumu ya kampuni hiyo kwa jamii (CSR) safari yote hii alitumia gari ndogo aina ya Suzuki Sierra mali ya wilaya ya Kisarawe.
Uongozi unaoacha alama
Huyo mshikaji vp tena au ndio anaimbisha mchana kweupe mbele ya wazee wa pwani?
 
Tofauti na vijana wengine ambao hawawezi kutembea kilomita 5 bila kutumia magari makubwa
View attachment 960265View attachment 960266View attachment 960267
Mwanadada Jokate DC wa kisarawe amepewa uchifu wa Kizaramo hasa kutokana na mchango mkubwa alioutoa kwa watu wa Kisarawe, baada ya kukamilisha kuzunguka wilaya nzima ya Kisarawa ,Jokate alishiriki uwekaji jiwe la msingi kuashiria kuanza kwa ujenzi wa madarasa matatu yanayojengwa na kampuni ya Yapi Merekezi kama moja ya majukumu ya kampuni hiyo kwa jamii (CSR) safari yote hii alitumia gari ndogo aina ya Suzuki Sierra mali ya wilaya ya Kisarawe.
Uongozi unaoacha alama
Kazoea kunong'onezwa masikioni!
 
Watanzania wanataka maendeleo sio mbwembwe, la msingi alikuwa akitimiza majukumu yake sehemu ya kazi yake kama dereva wa daladala anavyokomaa na kupeleka hesabu kwa tajiri.. Watanzania tunahitaji mrejesho chanya na si vinginevyo..
 
Anatimiza majukum yake as job descriptions...
Sion kama kuna uradhim wa ss kupga makelele..
Afanye kazi.
 
Back
Top Bottom