engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Hii mashine ya kazi. Inawezekana yeye hakushiriki moja kwa moja kwenye hili jambo, lakini akihojiwa anaweza kutoa mwelekeo wa picha kamili.
Kama wana usalama wanaingia humu JF, waamini maneno yangu.
JF ni jukwaa huru,ingawaje tunaelewa hofu yako kwa hali iliyopo sasa Tanzania,ila unaweza kusema zaidi ili tumfahamu huyu bwana wapi kazi zake na ni nani,je nae ni mfanyakazi polisi? maana hapo juu unasema alipata taarifa akiwa polisi usiku wa manane.