OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,713
ndivyo nilivyosema pia. tunasema pesa ya kubadilishia mboga inakuwepo. ukiachana ufisadi ukiwa mwajiriwa ngumu sana kutoboa. wako waajiriwa wana hela kubwa ila mafisadi kishenzi.Lakini wengi wanaofanya kazi ingawa sio matajiri wana maisha mazuri kiasi au uongo?
Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app