Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 19,526
- 37,941
We bet tu mwanangu
Weka GG mechi za leo unatoboa
Weka GG mechi za leo unatoboa
Kweli mkuu n ngumu sana lakin hakuna namna n kupambana tu.
Wazaz wengne yaliyomo vichwan mwao wanayajua wenyew. mzee wangu n contractor wa ujenzi, nimemaliza chuo mwaka Jana alichofanya n kuninunulia godoro na kunipa chumba kwenye moja ya nyumba zake mengne nijijue mwenyew. Napambana sana kuna wakat ata hela ya kula nakosa kabisa na mzee unaongea nae yote lakin swala la kumuomba ufanye kazi kweny kampuni yake au umuombe hela kama n simu anakata muda huohuo, hatak kusikia.
Kijana mwenzangu nakutia moyo husikae kusubir kushikwa mkono umri haukusibiri, pia katika changamoto hzi unajifunza mengi sana.
kipind cha mwanzo nilikua naogopa sana lakin sas hvi nishazoea kibishi maisha yanaenda
Maisha hayakogo hivyo, sahivi hata ukihamia mkoa mwengine unaenda kwa address...Mzee alihofia asije akaenda kuwa kibaka au tapeli kwa sababu ya kufosi maisha.
Hahahah mzee wako unashindwaje kuzoeana nae mzee. Ukiona hivyo ujue bado anaona una akili za kitoto ndio maana hamuendi sawa.😂😂 mkuu huyu mzee wangu namjua vizuri sana, kichwa changu kisipochaji hawezi nisaidia chochote. Nimemaliza Chuo nilitoka na kitu kama laki 4 na kadhaa hapo nikamgusia mzee kwamba aniconnect na wanaopeleka nguo minadani huko ili niwe naenda nao, mzee ana shop hapa town na watu wengi wanakuja kufunga mzigo kwake so ni rahisi kuniconnect nao nikapate hata experience (imagine sijamuomba hata mia yake), mzee akanipiga jicho kali (sijawai kukaa na mzee kupiga story kabisa, inshort japo ni mzee wangu lakini sijamzoea ) nilijua tu atanidissapoint sema nikitaka kujaribu tu, kwa Ufupi alizingua akasema wewe kua na subira utapata ajira..😅😅
Mahesabu mazuri sana ulipiga mzee...Ulikimbiza mwizi kimya kimya hio ndio tafsiri yake japo kuna watu walikuona huna akili.Mimi nilichelewa sana kuhama nyumbani nikiwa na malengo yangu kichwani.
Watu wa mtaani waliniletea dharau wakiniona kama mimi ni kubwa jinga kumbe nilikuwa na target zangu,nilipohama nyumbani nikahamia kwenye nyumba yangu moja kwa moja yaani kiufupi sijawahi kupanga.
Sasa ningekurupuka kwenda kupanga kipindi hiki cha magu ningedhalilika sana hata kwa kutupiwa vitu nje na mwenye nyumba.
Maana muda mwingine hela huwa zinagoma unapita mwezi mtu hujaingiza hata laki 2 halafu imagine ndio kodi imeisha na watoto wanahitaji kula kila siku utafanyaje?na sasa hivi hata ukihitaji elfu 10 kwa mtu hakuna anayekupa.
Kuna siku nitakuja kutoa ushuhuda kuhusu hili, niwashkuru ingali na wao wakisikia sio kusubiri mpaka wawe marehemu.Ukweli ni kwamba ni rahisi kushikwa mkono na mtu baki kuliko ndugu au rafiki.
Tuendelee kupambana
Chakula na mavazi vipo constant...???? Vipi dharrura kama ugonjwa na ajali..???laki moja na elfu 75 hapo una hela ya chumba elfu 2 na hela ya kuanzisha biashara ya mtaji wa elfu 50
Chakula na mavazi vipo constant...???? Vipi dharrura kama ugonjwa na ajali..???
😂😂 mzee wangu ni mkoloni vibaya mno...sema hapo umesema kweli kabisa anayo imani kwamba nikiajiriwa nitatoboa ...sema na Mimi na mipango yangu mkuu lakini sidhani wazee wetu pia wako sawa asilimia 100 vingine kama mtoto inabidi nijiongeze.Hahahah mzee wako unashindwaje kuzoeana nae mzee. Ukiona hivyo ujue bado anaona una akili za kitoto ndio maana hamuendi sawa.
Kaa nae chini mtie madini atakuelewa tu mkuu. Damu yako hamuwezi shindwana japo yeye anaamini utatoboa ukiajiriwa.
Unapongelea suala la kufanya saving mambo hayo ni muhimu sana... Hata unapokuwa na bishara unayomiliki wewe mwenyewe ni vyema ujilipe mshahara...Kwahiyo wewe utasubiri hadi upate bima ya ajali na magonjwa?
ili kuwa zaman, sasa ivi hata kibarua hupatiwaache watu wajazane ujinga tu 😂😂😂
we fuata maneno ya motivation speaker oo lizer alianza kuchimba madini na kijiko wafwa. ukizungumzia neno maisha kichwani kwako kuwe na vitu viwili fedha na mapenziHoja mezani sio kutoboa, bali ni kuanza maisha ya kujitegemea... nafikiri ni vitu viwili tofauti!
ccm nayo inaturudisha nyumaMambo magumu sana broh, kwa watu wenye projects zenu mtukumbuke graduates jaman naamini tunao uwezo mkubwa wa kufanya vitu kwa ubora mzuri na kwa gharama ndogo tu angalau wote tusogeze maisha
Wala haikuwa kazi ya uhakika, leo unapata , kesho unakosa.. muhimu nilikuwa nahifadhi maana home nilikuwa nakula na kulala bure..Ina maana uliplan vizuri baada ya kuwa na uhakika wa Elf 5 kila siku.