lordchimkwese
JF-Expert Member
- Nov 16, 2015
- 1,914
- 3,343
Jamii forum kila mtu heroUmeprove point ile ile anayoongea. Huo unaongea ni utegemezi uliopitiliza. Maisha ni kama kutupwa katikati ya msitu mnene ukiwa na kisu tu na umevaa pensi ya jeans huku miguuni upo pekupeku..... Na msitu unawamyama wakali wa kila aina na wenye sumu.....
Utakaa uanze kulia au utaanza piga hatua taratibu ukitafuta kutoka msituni kwenda barabarani kupata salama yako.
Kuanza kujitegemea sio hadi uwe na ajira kwanza. Sometimes ajira inakukuta miaka miwili au mitatu baada ya kuanza jitegemea.
Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app