Bila kuamka na kukataa ghiliba hizi tungali na safari ndefu

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,815
35,804
Mabibi na mabwana haihitaji elimu ya kiwango cha PhD kutambua sakata la Wabunge wa Viti Maalum limegubikwa na jinai ya wazi.

Haihitaji elimu kama hiyo kutambua kuwa ni nani aliye nyuma ya jinai hii.

Kwamba tume haina mifumo yoyote ya kujiridhisha na uhalali wa mawasiliano yake rasmi na vyama vya siasa? Kwamba kwake kila anayelia bwana bwana atauona ufalme wa mbinguni?

Aaaah Wapi!

Tunataka kudanganyana kwa nguvu sasa.

Kama tume haijaagizwa kufanya haya tunayoyaona na uchaguzi huu, ni vipi tume ya namna hii inaweza hata kufikiriwa kupewa majukumu nyeti ya kuandaa na kusimamia mambo nyeti kama haya yenye kubeba hatima ya taifa letu?

Kwamba mamlaka zinashabikia na hata kuahidi kusimama na matokeo ya jinai? Kwa maneno yake Bi. Halima: "Hii itakuwa ni akili au matope?"

Heko CHADEMA na heko Mbowe kwa maamuzi thabiti yenye kujaa hekima. Uthibitisho ni kuwa hata huku kwenye mitandao washabikia jinai hatimaye wamekituliza!


Kwa hakika Bi Halima na wenzake msingeweza kutendewa haki zaidi ya hii.

Mnayo nafasi ya kuomba kusamehewa au kukata rufaa. Kwamba mnaamua kusuka au kunyoa ndani ya CHADEMA hilo liko mikononi mwenu.

Hali ya upepo tu katika CHADEMA imeonyesha wazi kuwa haki iko wapi. Dunia ya kistaarabu haijawahi kubeza masuala ya "public opinions." Mengine ya kujidanganya unapendwa ni kujilisha upepo tu.

Haiwafikirishi kweli wamama nyie kuwa hamna uungwaji mkono wowote ndani ya CHADEMA isipokuwa akina jiwe, supika, jingaletu na ndugu zao huko mboga mboga? Mtakuwa mmevutishwa sigara gani nyie?

Kumbukeni, kauli ya wengi ni kauli ya Mungu!

Bila kusimama sote kuifahamisha mamlaka na haswa kuanzia kwa juu yake kuwa sisi kama taifa hatufurahishwi na ghiliba ghiliba hizi, basi tutakuwa bado tungali tuna safari ndefu sana.

Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu:

"Mamlaka zenye kuhalilisha na kusimama na ghushi ghushi kama hizi, hazitufai!"
 
Wasomi wengi wa Tanzania hawajaelimika. Mtu una PhD halafu unacheza sarakasi za kijinga hivi, unadhani wahisani hawaoni? Huu ndio utawala wa Demokrasia na utii wa Sheria?

Halafu nisikie mtu anasema eti TISI ni wabobevu, ndio ubobevu wa wapi huu?

Hata kwa cheques za pesa ndogo tu pesa bank hupewi bila:

1. Kitambulisho cha kueleweka (kitambulisho cha bank hakikubaliki).
2. Cheque leaf iliyojazwa kwa usahihi na bila ya kukosewa popote.
3. Aliyeiandika cheque hiyo kupigiwa simu na bank kwa uthibitisho.

Hayo yote matatu lazima yapitiwe yote kikamilifu kabla ya pesa kutoka.

Tume ya uchaguzi haina uhakiki wowote!

Kwa hakika:

"Believe this and you will believe anything."

CCM hoyeee!
 
Hahaha iliyokuwa muhimu ni kuwafukuza covid-19 na wamefukuzwa, huko waendako ni mipango yao sasa.
 
Mabibi na mabwana haihitaji elimu ya kiwango cha PhD kutambua sakata la wabunge wa viti maalum limegubikwa na jinai ya wazi.

Haihitaji elimu kama hiyo kutambua kuwa ni nani aliye nyuma ya jinai hii.

Kwamba tume haina mifumo yoyote ya kujiridhisha na uhalali wa mawasiliano yake rasmi na vyama vya siasa? Kwamba kwake kila anayelia bwana bwana atauona ufalme wa mbinguni?

Aaaah Wapi!

Tunataka kudanganyana kwa nguvu sasa.

Kama tume haijaagizwa kufanya haya tunayoyaona na uchaguzi huu, ni vipi tume ya namna hii inaweza hata kufikiriwa kupewa majukumu nyeti ya kuandaa na kusimamia mambo nyeti kama haya yenye kubeba hatima ya taifa letu?

Kwamba mamlaka zinashabikia na hata kuahidi kusimama na matokeo ya jinai? Kwa maneno yake Bi. Halima:

"Hii itakuwa ni akili au matope?"

Heko CDM na heko Mbowe kwa maamuzi thabiti yenye kujaa hekima. Uthibitisho ni kuwa hata huku kwenye mitandao washibikia jinai hatimaye wamekituliza!


Kwa hakika Bi Halima na wenzake msingeweza kutendewa haki zaidi ya hii.

Mnayo nafasi ya kuomba kusamehewa au kukata rufaa. Kwamba mnaamua kusuka au kunyoa ndani ya CDM hilo liko mikononi mwenu.

Hali ya upepo tu katika CDM imeonyesha wazi kuwa haki iko wapi. Dunia ya kistaarabu haijawahi kubeza masuala ya "public opinions." Mengine ya kujidanganya unapendwa ni kujilisha upepo tu.

Haiwafikirishi kweli wamama nyie kuwa hamna uungwaji mkono wowote ndani ya CDM isipokuwa akina jiwe, supika, jingaletu na ndugu zao huko mboga mboga? Mtakuwa mmevutishwa sigara gani nyie?

Kumbukeni, kauli ya wengi ni kauli ya Mungu!

Bila kusimama sote kuifahamisha mamlaka yote na haswa kuanzia jwa juu yake kuwa, "sisi kama taifa hatufurahishwi na ghiliba hizi," basi bado tuna safari ndefu sana.

Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu:

"Mamlaka zenye kuhalilisha na kusimama na ghushi hazitufai!"
Badala ya kuandika facts, unatumia hisia. Hakuna sehemu kamati kuu imesema imewafukuza uanachama. Imesema imeazimia kuwafukuza uanachama. Kama kuna ghiliba basi ipo kamati kuu ya CDM
 
Badala ya kuandika facts, unatumia hisia. Hakuna sehemu kamati kuu imesema imewafukuza uanachama. Imesema imeazimia kuwafukuza uanachama. Kama kuna ghiliba basi ipo kamati kuu ya CDM
Facts zipo kwenye maelezo ya tume? Waliowatuma Tume kugushi, ndio waliotengeneza list fake ya ajira za waalimu ili kuhadaa umma. Kila kitu kiko wazi
 
Badala ya kuandika facts, unatumia hisia. Hakuna sehemu kamati kuu imesema imewafukuza uanachama. Imesema imeazimia kuwafukuza uanachama. Kama kuna ghiliba basi ipo kamati kuu ya CDM

Umesoma huu uzi na viambata vyake au unakurupuka kurupuka mashimoni tu kama ilivyo kawaida yenu?

Plain and clear, "Bi Halima na wenzake wamevuliwa uanachama."

Ni kweli kuwa kuna tofauti baina ya kufukuzwa na kuvuliwa uanachama. Hapo ndipo tofauti za kuelimika katika watu ukiwamo wewe zinapokuja:


CDM inasema haijatoa listi kwa tume. Tume inasema imepokea listi tokea CDM. Ni dhahiri kuna ghushi.

Kwanini uhalali wa listi si muhimu kwa tume? Kwanini kama ni nia ya tume kuwa na listi halali, tume isijiridhishe na mtoa listi? Ikumbukwe kuwa taarifa za kuwepo listi ghushi zimekuwapo kwa muda sasa.

Ghiliba ghiliba hizi haziwezi kumshawishi mtu yeyote mwenye akili zake timamu.

Ni wazi kuwa Tume na mamlaka wana lao jambo kwenye ghiliba ghiliba hii.
 
Umesoma huu uzi na viambata vyake au unakurupuka kurupuka mashimoni tu kama ilivyo kawaida yenu?

Plain and clear, "Bi Halima na wenzake wamevuliwa uanachama."

Ni kweli kuwa kuna tofauti baina ya kufukuzwa na kuvuliwa uanachama. Hapo ndipo tofauti za kuelimika katika watu ukiwamo wewe zinapokuja:


CDM inasema haijatoa listi kwa tume. Tume inasema imepokea listi tokea CDM. Ni dhahiri kuna ghushi.

Kwanini uhalali wa listi si muhimu kwa tume? Kwanini kama ni nia ya tume kuwa na listi halali, tume isijiridhishe na mtoa listi? Ikumbukwe kuwa taarifa za kuwepo listi ghushi zimekuwapo kwa muda sasa.

Ghiliba ghiliba hizi haziwezi kumshawishi mtu yeyote mwenye akili zake timamu.

Ni wazi kuwa Tume na mamlaka wana lao jambo kwenye ghiliba ghiliba hii.
Chanzo chako cha taarifa ndicho kilichokudanganya.

Hivi hamuwezi kujiuliza kuna haja gani ya kumvua uongozi mtu uliyemfukuza ua!achama?

Kuna haja gani ya kusema haruhusiwi kujihusisha na shughuli za uongozi na za chama wakati ulimshamvua uanachama?

Kwa taarifa yako, yenu na wale wanyama wajinga wa porini. Taarifa ya Kamati Kuu ni kuazimia kuwavua uanachama. Mkiniambia kuazimia kuwavua uanachama na kuwavua uanachama ni kitu kimoja basi sawa. Lakini ghilba iko wazi, mbele machoni mwenu na bado hamuioni.

Kama vipi CDM watoe andiko la maandishi ndipo akili za kushikiwa zifanye kazi
 
Facts zipo kwenye maelezo ya tume? Waliowatuma Tume kugushi, ndio waliotengeneza list fake ya ajira za waalimu ili kuhadaa umma. Kila kitu kiko wazi
Hahahahahaha! Usiniambie kichwa kimevurugwa kiasi hicho!
 
Wasomi wengi wa Tanzania hawajaelimika. Mtu una PhD halafu unacheza sarakasi za kijinga hivi, unadhani wahisani hawaoni? Huu ndio utawala wa Demokrasia na utii wa Sheria?

Halafu nisikie mtu anasema eti TISI ni wabobevu, ndio ubobevu wa wapi huu?
Bujibuji, kusoma mbali na kuelimika mbali. Kusoma ni kupata habari lakini kuelimika ni kuifanyia kazi ile habari uliyoisoma. Tatizo ni kuwa kuna wananchi na wengine wanajifanya ni wenyenchi.
 
Wasomi wengi wa Tanzania hawajaelimika. Mtu una PhD halafu unacheza sarakasi za kijinga hivi, unadhani wahisani hawaoni? Huu ndio utawala wa Demokrasia na utii wa Sheria?

Halafu nisikie mtu anasema eti TISI ni wabobevu, ndio ubobevu wa wapi huu?
Mkuu usitoe hukimu pasipo kujilidhisha na majibu ya pande zote mbili.

Kumbuka siyo jukumu la NEC kuchunguza na kubaini kama barua waliyoipokea toka cdm ni barua halali au ni fake. Bali wakipata malalamiko kama yanavyotolewa na cdm kuwa batua ni fake wao NEC ni jukumu lao la kuwatumia wanasheria wao kwenda katika chomno husika ambacho ni polisi kwa uchunguzi zaidi wa kubaini malalamiko hayo.

Tuwe na subra, ikiwa NEC hawatataka au hatafika polisi kutoa malalamiko hayo ya kudanganywa na akina Mdee kweli tutaamini ya kuwa kuna mkono wa NEC katika sakata hilo.
 
Chanzo chako cha taarifa ndicho kilichokudanganya.

Hivi hamuwezi kujiuliza kuna haja gani ya kumvua uongozi mtu uliyemfukuza ua!achama?

Kuna haja gani ya kusema haruhusiwi kujihusisha na shughuli za uongozi na za chama wakati ulimshamvua uanachama?

Kwa taarifa yako, yenu na wale wanyama wajinga wa porini. Taarifa ya Kamati Kuu ni kuazimia kuwavua uanachama. Mkiniambia kuazimia kuwavua uanachama na kuwavua uanachama ni kitu kimoja basi sawa. Lakini ghilba iko wazi, mbele machoni mwenu na bado hamuioni.

Kama vipi CDM watoe andiko la maandishi ndipo akili za kushikiwa zifanye kazi

Wahusika wa ghushi hii mna machungu sana na hukumu iliyofuatia.

Hujui kuwa msomi gwiji lao alikuwa in attendance via a video link?

Endeleeni kujifariji. Ila kama uanachama ni nguo kawaangalie.
 
Wahusika wa ghushi hii mna machungu sana na hukumu iliyofuatia.

Hujui kuwa wakilisha msomi gwaji lao alikuwa in attendance via a video link?

Endeleeni kujifariji. Ila kama uanachama ni nguo kawaangalie.
Uzuri yakijiri huwa mnapotea! Yaani hata kuelewa tu kilichosemwa mpaka utafsiriwe kutoka ubelgiji. Kweli wanyamapori ni wanyamapori tu!
 
Uzuri yakijiri huwa mnapotea! Yaani hata kuelewa tu kilichosemwa mpaka utafsiriwe kutoka ubelgiji. Kweli wanyamapori ni wanyamapori tu!

Domo nyumba wewe kama siyo mnyama pori basi wanyama pori ni binadamu.

Huyu bwana mliyepanga kumwua hamwuishi kumtaja raha. Atakuwa anawatesa sana. Na bado!

Zingatia, hukumu chungu wenzio wamekituliza!
 
Mkuu usitoe hukimu pasipo kujilidhisha na majibu ya pande zote mbili.

Kumbuka siyo jukumu la NEC kuchunguza na kubaini kama barua waliyoipokea toka cdm ni barua halali au ni fake. Bali wakipata malalamiko kama yanavyotolewa na cdm kuwa batua ni fake wao NEC ni jukumu lao la kuwatumia wanasheria wao kwenda katika chomno husika ambacho ni polisi kwa uchunguzi zaidi wa kubaini malalamiko hayo.

Tuwe na subra, ikiwa NEC hawatataka au hatafika polisi kutoa malalamiko hayo ya kudanganywa na akina Mdee kweli tutaamini ya kuwa kuna mkono wa NEC katika sakata hilo.

Mkuu mpesa, bank, immigration, kote wana authenticate kabla ya clearance isipokuwa tume ya Mahera ambako hata jingaletu anaweza kujitambulisha kama Mnyika.

"Believe this and you will believe anything!"

Hiyo ndiyo version ya Mahera ambapo supika na mamlaka wameapa kulinda sasa matokeo ya listi ya jingaletu.

Hii ni kwa Tanzania ya jiwe tu.
 
Hata kwa cheques za pesa ndogo tu pesa bank hupewi bila:

1. Kitambulisho cha kueleweka (kitambulisho cha bank hakikubaliki).
2. Cheque leaf iliyojazwa kwa usahihi na bila ya kukosewa popote.
3. Aliyeiandika cheque hiyo kupigiwa simu na bank kwa uthibitisho.

Hayo yote matatu lazima yapitiwe yote kikamilifu kabla ya pesa kutoka.

Tume ya uchaguzi haina uhakiki wowote!

Kwa hakika:

"Believe this and you will believe anything."

CCM hoyeee!
Wanafikiri Watanzania ni wajinga.Wanajidanganya kuwa wanaweza kuendelea kudanganya na kunyanyasa Wananchi Siku zote!Amin nawaambia,muda siyo Mrefu ujao mtaumbuliwa mchana kweupee.Kughushi ni kinyume cha sheria.
 
Domo nyumba wewe kama siyo mnyama pori basi wanyama pori ni binadamu.

Huyu bwana mliyepanga kumwua hamwuishi kumtaja raha. Atakuwa anawatesa sana. Na bado!

Zingatia, hukumu chungu wenzio wamekituliza!
Ng'ombe pori bwana! Ngoja tuone wanavyofanywa asusa huku wengine wakiendelea kujipeleka tu!
 
Back
Top Bottom