Bunchari
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 489
- 531
Naandika ujumbe huu nikiwa mwenye masikitiko kutokana na uamuzi wa chuo kikuu dodoma kuhitaji kitambulisho cha taifa,leseni ya udereva au kadi ya mpiga kura ili uchukue cheti.
Binafsi sina hivyo vitu vyote nimefatilia kitambulisho cha taifa wameniambia kupatikana sio leo wala kesho kuna watu wanazaidi ya mwaka awajawai kupata.Sio kila mtu ana reseni ya udereva kwangu mimi sijui hata gari inaendeshwaje.Sijawai kupiga kura sina hizo kadi zao.
Nitoe wito kwa Udom kutumia mbinu nyingine au kuwasiliana na Mamlaka ya vitambulisho vya taifa ili tupate msaada.
Ajira zimekua adimu na ninyi mnaleta kauzibe.
Binafsi sina hivyo vitu vyote nimefatilia kitambulisho cha taifa wameniambia kupatikana sio leo wala kesho kuna watu wanazaidi ya mwaka awajawai kupata.Sio kila mtu ana reseni ya udereva kwangu mimi sijui hata gari inaendeshwaje.Sijawai kupiga kura sina hizo kadi zao.
Nitoe wito kwa Udom kutumia mbinu nyingine au kuwasiliana na Mamlaka ya vitambulisho vya taifa ili tupate msaada.
Ajira zimekua adimu na ninyi mnaleta kauzibe.