Ketoka
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 1,087
- 1,913
*DED anagombea ubunge
*DED awe msimamizi wa uchaguzi
*DED ateuliwe na Rais mwenyekiti wa ccm
*DED anaambiwa hakuna kuwa neutral na Uteuzi
*DED ana kadi ya ccm
*DED ni mtumishi wa umma
*DED atangaze mbunge wa upinzani ameshinda- ili afukuzwe kazi na uteuzi
Halafu mnasema tumeshinda kwa kishindo
Vyama vya siasa mjitafakari upya kama huu ndo mfumo wa vyama vingi mnaoutaka
Mwenyekiti wa vyama vya siasa Shibuda atafakari huu mfumo tunaotumia Tanzania kama ni halali au tunajiandalia mlipuko wa moto wa petrol kati ya Tume ya uchaguzi na wananchi,na kama yupo hapo kwa maslahi binafsi aseme na kama hakuna mabadiliko ya katiba acheni kuharibu hela za wananchi kwa uchaguzi hewa
DED korogwe na katibu tawala wamechukua fomu ya kuwania ubunge jimbo la Korogwe vijijini!!!!!!!!!!!!
*DED awe msimamizi wa uchaguzi
*DED ateuliwe na Rais mwenyekiti wa ccm
*DED anaambiwa hakuna kuwa neutral na Uteuzi
*DED ana kadi ya ccm
*DED ni mtumishi wa umma
*DED atangaze mbunge wa upinzani ameshinda- ili afukuzwe kazi na uteuzi
Halafu mnasema tumeshinda kwa kishindo
Vyama vya siasa mjitafakari upya kama huu ndo mfumo wa vyama vingi mnaoutaka
Mwenyekiti wa vyama vya siasa Shibuda atafakari huu mfumo tunaotumia Tanzania kama ni halali au tunajiandalia mlipuko wa moto wa petrol kati ya Tume ya uchaguzi na wananchi,na kama yupo hapo kwa maslahi binafsi aseme na kama hakuna mabadiliko ya katiba acheni kuharibu hela za wananchi kwa uchaguzi hewa
DED korogwe na katibu tawala wamechukua fomu ya kuwania ubunge jimbo la Korogwe vijijini!!!!!!!!!!!!