Bila Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi wapinzani hawatashinda hata jimbo moja 2020

Swala la katiba mpya haliwezi kutatuliwa na misukumo ya ndani tu kuna escapism ya swala hili.Hatuna tena Mwalimu ambaye aliona mbali kuwa nchi ya Tanzania ilitakiwa iwe nchi ya vyama vingi alisema kubaki katika mfumo wa chama kimoja kitabweteka na maendeleo yake yatakuwa stuck up.Kurudi nyuma na siasa zisizokuwa na ushindani tuepukane nazo tusifanane na nchi ya Zimbambwe ambayo mpaka sasa wa struggle kurudi kwenye right truck bado wanashindwa
 
Swala la katiba mpya haliwezi kutatuliwa na misukumo ya ndani tu kuna escapism ya swala hili.Hatuna tena Mwalimu ambaye aliona mbali kuwa nchi ya Tanzania ilitakiwa iwe nchi ya vyama vingi alisema kubaki katika mfumo wa chama kimoja kitabweteka na maendeleo yake yatakuwa stuck up.Kurudi nyuma na siasa zisizokuwa na ushindani tuepukane nazo tusifanane na nchi ya Zimbambwe ambayo mpaka sasa wa struggle kurudi kwenye right truck bado wanashindwa
Hapa ndipo tuta pata kipimo cha uzalendo ''Wale ambao hawataki katiba mpya siyo wazalendo''
 
Huu ndio ukweli. Mwaka 2020 kura zitaporwa mchana kweupe. Mkibisha, mnakula virungu, mnatupwa jela bila dhamana. We are in "the right track". Nashangaa kwanini wabunge wapo happy tu na utaratibu huu wa kuwaruhusu wanachama wa CCM kwa kofia ya UDED kuwa ndio wasimamizi wakuu wa Uchaguzi
 
Pamoja na kuwa sio mfuasi wa chama chochote lakini nimekuwa sifurahishwi na namna Uchaguzi unavyoendeshwa katika nchi hii Chini ya Katiba iliyopo na Tume ya Uchaguzi iliyopo.

Naamini Wapinzani wamejionea chaguzi za marudio zilivyofanyika hivi karibuni na kuwafanya Wagombea wa CCM kushinda Chaguzi zote kirahisi kabisa.

Wasimamizi wa Uchaguzi ambao ni Wakurugenzi wamefanya walivyotaka. Mbinu zilizotumika kuwafanya Wagombea wa CCM kushinda ndio hizo hizo zitatumika 2020 tena kwa nguvu zaidi kwani Katiba ni ile ile na Tume ya Uchaguzi ni ile ile.

Kama Vyama vya Upinzani vitashindwa Kudai Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi ni bora visishiriki Uchaguzi huo kwani kitakachofanyika ili ionekane CCM inakubalika hamtaamini Macho na Masikio yenu na Wanachama wafuasi na wapenda mabadiliko mtawakatisha tamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Vyama vya upinzani haviwezi kuleta katiba mpya bila support madhubuti ya wananchi then ndio wapate support ya kimataifa, Maduro kule anaondoka kwa sababu ya wanachi kuchachamaaa.Vivyo hivyo itakuwa Sudan na Algeria. Tanzania tunawaachia vyama vya upinzani as if sisi hituhusu.
 
Pamoja na kuwa sio mfuasi wa chama chochote lakini nimekuwa sifurahishwi na namna Uchaguzi unavyoendeshwa katika nchi hii Chini ya Katiba iliyopo na Tume ya Uchaguzi iliyopo.

Naamini Wapinzani wamejionea chaguzi za marudio zilivyofanyika hivi karibuni na kuwafanya Wagombea wa CCM kushinda Chaguzi zote kirahisi kabisa.

Wasimamizi wa Uchaguzi ambao ni Wakurugenzi wamefanya walivyotaka. Mbinu zilizotumika kuwafanya Wagombea wa CCM kushinda ndio hizo hizo zitatumika 2020 tena kwa nguvu zaidi kwani Katiba ni ile ile na Tume ya Uchaguzi ni ile ile.

Kama Vyama vya Upinzani vitashindwa Kudai Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi ni bora visishiriki Uchaguzi huo kwani kitakachofanyika ili ionekane CCM inakubalika hamtaamini Macho na Masikio yenu na Wanachama wafuasi na wapenda mabadiliko mtawakatisha tamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza wangekuwa wanaona mbali hata uchaguzi wangesusia.
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom