ROMUARD KYARUZI
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 683
- 464
Swala la katiba mpya haliwezi kutatuliwa na misukumo ya ndani tu kuna escapism ya swala hili.Hatuna tena Mwalimu ambaye aliona mbali kuwa nchi ya Tanzania ilitakiwa iwe nchi ya vyama vingi alisema kubaki katika mfumo wa chama kimoja kitabweteka na maendeleo yake yatakuwa stuck up.Kurudi nyuma na siasa zisizokuwa na ushindani tuepukane nazo tusifanane na nchi ya Zimbambwe ambayo mpaka sasa wa struggle kurudi kwenye right truck bado wanashindwa