mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
unatakiwa uiuze au uiharibu baada ya muda kuisha alafu kitu cha elefu mbili kinakupigizaje kelele, tumia mpaka kiishe then tupa au chomaMkiambiwa mnakurupuka mnatupeleka senturo kuhojiwa. Sasa mimi nimetoka zangu Tarime leo, nimefika Dar naondoka keshokutwa, ukanikatishe kadi ya 5000 huko Tarime naenda kuifanyia nini?