COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,598
- 3,644
Hayati Magufuli ndiye aliyesababisha wabunge wengi kurudi bungeni kwa ubabe wake alioufanya.
Madiwani nao wamebebwa kushika hizo nyadhifa kwa hisani ya ubabe wa hayati Magufuli.
Wenyeviti wa vitongoji ndiyo kabisaa hata uchaguzi hatukufanya walipitishwa bila kupingwa, yote hiyo ni hisani ya ubabe wa hayati Magufuli.
Kwa mifano michache tu wabunge wafuatao kamwe wasingerudi Bungeni kama ubabe wa hayati Magufuli isingetumika.
1. Ndugai
2. Lukuvi
3. Mkuchika
4. Mbunge wa Kilwa ( kule kwa bwana Bwege)
5. Tulia Ackson
7. Mbunge wa Ikungi( kwa Lissu)
8. Mbunge wa Hai
9. Mrisho Gambo
10. Mbunge wa Mikumi
11. Mbunge wa Iringa mjini
12. Mbunge wa Mbarali
13. Mbunge wa Kigoma mjini ( kwa Zitto Kabwe)
14. Salma Kikwete
15. Wabunge Pemba yote
16. Majimbo 10 Unguja
17. Mwita Waitara
18. Askofu Gwajima
19. Mkoa wa Lindi wote except ( Mtama na Ruangwa)
20. Mkoa wa Mtwara wote (except majimbo matatu tu).
21. Mbunge Bukoba mjini
22. Abood (Morogoro mjini)
Hiyo ni mifano michache, lakini 40% ya wabunge waliopo Bungeni wamebebwa kwa hisani ya ubabe wa hayati Magufuli.
Sasa maadamu Mama Sami S Hassan ataruhusu watu wachague kwa haki, tuombe uzima 2025 muone kitakacho watokea CCM.
Madiwani nao wamebebwa kushika hizo nyadhifa kwa hisani ya ubabe wa hayati Magufuli.
Wenyeviti wa vitongoji ndiyo kabisaa hata uchaguzi hatukufanya walipitishwa bila kupingwa, yote hiyo ni hisani ya ubabe wa hayati Magufuli.
Kwa mifano michache tu wabunge wafuatao kamwe wasingerudi Bungeni kama ubabe wa hayati Magufuli isingetumika.
1. Ndugai
2. Lukuvi
3. Mkuchika
4. Mbunge wa Kilwa ( kule kwa bwana Bwege)
5. Tulia Ackson
7. Mbunge wa Ikungi( kwa Lissu)
8. Mbunge wa Hai
9. Mrisho Gambo
10. Mbunge wa Mikumi
11. Mbunge wa Iringa mjini
12. Mbunge wa Mbarali
13. Mbunge wa Kigoma mjini ( kwa Zitto Kabwe)
14. Salma Kikwete
15. Wabunge Pemba yote
16. Majimbo 10 Unguja
17. Mwita Waitara
18. Askofu Gwajima
19. Mkoa wa Lindi wote except ( Mtama na Ruangwa)
20. Mkoa wa Mtwara wote (except majimbo matatu tu).
21. Mbunge Bukoba mjini
22. Abood (Morogoro mjini)
Hiyo ni mifano michache, lakini 40% ya wabunge waliopo Bungeni wamebebwa kwa hisani ya ubabe wa hayati Magufuli.
Sasa maadamu Mama Sami S Hassan ataruhusu watu wachague kwa haki, tuombe uzima 2025 muone kitakacho watokea CCM.