Ndivyo ilivyo walimuaga kama mfuasi wa freemason tu. Huwa wanafanya kampeni aagwe kwa wingi kama walivyotembeza mwili wake kila mtaa nchi nzima.š¤£š¤£Hawezi kuwa amelaanika mtu aliyeagwa na mamilioni.
Ukisoma maoni JF unaweza ukadhani huko mtaani kuna akili kama za humu kumbe tofauti kabisa.