smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,977
- 3,066
niko tayari lkn huna hela!!Tena mumshukuru sana...amewaletea maendeleo huko muache unafiki.
Musoma nimekaa kama miaka nane iliyopita..nilirudi kuwajua hali wana huko mwaka jana nikakuta maboresho makubwa sana!
Ile hospital yenu kaikarabati
Barabara kazipalilia haswa...tena maeneo ya nyasho hapo nilipotea.
Nilishangaa kawawekea na mataa ya barabarani.
Mwisho nataka nikuoe upo tayari? Tuyajenge mummy