Bila "double standard", makinikia yatakula wengi sana

Mzee wa hat-trick

JF-Expert Member
Nov 21, 2016
1,730
2,388
Wakuu,
Kama kweli mheshimiwa JPM anataka kuifuatilia hii ishu na kutaka kila aliyehusika kwa njia moja au nyingine anawekwa katika mikono ya sheria, haya makinikia, hayatawaacha watu salama.

Kitakachotokea hapa, ni kutupiana kijiti na mwisho wa siku usiyependa aguswe, ataguswa. Na atakapoguswa DOUBLE STANDARD lazima itahusika. Na mbaya zaidi wengi sana wapo hai.

KUANZA UPYA SI UJINGA, tulishaibiwa sana. JPM angeanza upya kuijenga Tanzania, kuliko kufukua makaburi ukakutana na mtu either asiyemtarajia, au alimtarajia ila akajikuta hana jinsi ya kumlinda.
 
Hapana, kuwawajibisha wahujumu uchumi ni lazima haijalishi alikuwa Rais au Waziri. Wamenufaika mno. Sasa damu yao ni juu yetu na vizazi vyetu. Tumechoka kutembea peku wakati dhahabu yetu inapeleka matoto yao yasiyo na akili kwenda kusoma ulaya. Malipo ni hapa hapa duniani. Japo tumedumaa kwa kukosa lishe, sasa walau tupate matibabu ya utapiamlo tulio nao aliotusababishie joka lenye makengeza na ukoo wake wa nyoka.
 
Hapana, kuwawajibisha wahujumu uchumi ni lazima haijalishi alikuwa Rais au Waziri. Wamenufaika mno. Sasa damu yao ni juu yetu na vizazi vyetu. Tumechoka kutembea peku wakati dhahabu yetu inapeleka matoto yao yasiyo na akili kwenda kusoma ulaya. Malipo ni hapa hapa duniani. Japo tumedumaa kwa kukosa lishe, sasa walau tupate matibabu ya utapiamlo tulio nao aliotusababishie joka lenye makengeza na ukoo wake wa nyoka.
Kweli kabisa mkuu
 
Sadism is inevitable when the situation is alarming...tumeibiwa sana, rais yampasa ashushe fagio la chuma.
 
Back
Top Bottom