mwandeko
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 286
- 120
wewe na ccm yako ndo mmeyumba mmechukua sera za upinzani mkaweka kwenu na bado zinawashindaNi wazi na imeendelea kudhihiri kuwa upinzani wa Tanzania umeyumba. Wamepoteana wamechanganyikiwa. Ni vyema na muhimu kwa sasa Kama taifa tuone umuhimu wa kupatikana upinzani wa dhati. Hawa akina Ole Medeye na wenzake waliohamia UDP wanaweza ku sound valid. Chadema imezama..CUF hoi...ACT zii...jamani NCCR wee!!!!