Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unapotosha aisei..!Uwe na kiburi kwa serikali?
Uwe na unyenyekevu kwa serikali?
Usionyenyekea wala kuwa na kiburi ila maslahi yao yalindwe?
AU WEWE UNATAKAJE?
Hakuna atakaye penda kukumbatia mafisadiUsikumbatie mafisadi na wakwepa kodi
tunaposema hata huo ukawa inakuwaje vyama kama nccr au nld havisikiki kabisa kisiasaaSema bila ukawa upinzani Tanzania hakuna
Sababu ya ukawatunaposema hata huo ukawa inakuwaje vyama kama nccr au nld havisikiki kabisa kisiasaa
Tulitegemea ACT ingeleta hamasa,nacho ni bure kabisa zaidi ya umbea dhidi ya serikali. CUF imevunjika vipande vipande. NCCR imesinzia Kama haipo vile. NLD, UDP almost vifu, vimebaki majina tu.Kwahiyo tumebaki na CDM tu chenye kuonesha kauhai kidogo !baada ya uchaguzi mkuu kumalizika 2015 hadi leo hii 2017 miaka miwili chama cha chadema kimekuwa chama ambacho hazipiti siku mbili lazima utasikia leo wanaanzisha jambo hili kesho jambo jingine
keshokutwa utasikia jingine ili mradi yaani haiwezi kupita siku bila kusikia chadema wakisema.
lakini wakati chadema wakifanya haya vipi kuhusu vyama vya ACT, NCCR,CUF,NLD,TLP,UDP,CHAUSTA,
havisikiki kabisaa angalau kidogo CUF kupitia mgogoro wa lipumba na seif inasikikaaa.
swali langu jee hii ina maana bila chadema tanzania upinzani usingekuwepo
hivyo vingine kama ACT,TLP,UDP,UPDP,CHAUSTA,SAU TADEA na ADC ni matawi ya CCM, vipo kuvuruga na kugawa kura za wapinzani.tunaposema hata huo ukawa inakuwaje vyama kama nccr au nld havisikiki kabisa kisiasaa
jee unadhani kama chadema isingekuwepo hivi ingekuwajeeTulitegemea ACT ingeleta hamasa,nacho ni bure kabisa zaidi ya umbea dhidi ya serikali. CUF imevunjika vipande vipande. NCCR imesinzia Kama haipo vile. NLD, UDP almost vifu, vimebaki majina tu.Kwahiyo tumebaki na CDM tu chenye kuonesha kauhai kidogo !
jee unadhani kama chadema isingekuwepo hivi ingekuwajee