DA HUSTLA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 3,663
- 3,881
Nilideclare kuwa nilichosema ni fikra zangu, zinaweza kuwa kweli ama uongo. Uzuri mimi si mnafiki siwezi sema nyeupe penye nyeusi.
Shida ipo kwenu kuona wengine ni wajinga ikiwa tu walioa si bikra na wanawapenda na kuwa care hehe, Je mkuu unafahamu kuwa kwa wewe kusema ni wajinga haiwafanyi kuwa wajinga kweli? Ujinga wao unabaki katika mtazamo wako? Unafahamu? Ingeletwa maana sahihi ya mjinga tungeweza kupima ujinga wao. Or else.......
FYI core desire za wanaume?? ikiwa tu wewe ni msemaji wa wanaume wote na wamekutuma useme hivyo! Mimi pia sio msemaji wao ndio maana argument zangu zinaegamia pande zote mbili, ikiwa ninyi mnaona point A tu najaribu kuwaonesha point B, kama kuna A na B na vyote vinapatikana katika duara moja huoni kuwa wewe upo sahihi na wao pia? Je unaonaje?
We ruka ruka weee,ukweli utabaki pale pale bikra na asiye bikra ni tofaut tangu na tangu ,japo sio mfuasi mzur Wa dini
1-hata kwenye bible yesu alizaliwa na bikra
2-hata kwenye Quran ,tukienda peponi utapewa wanawake kibao afu ma bikra
3-historia za jamii zote ni shahid jinsi bikra ilivyochukuliwa ,sasa unataka hao wanaume wasemewe na nani,wakat every thing its clear to see,ha ha haaa
Bikra itabaki bikra tu,kuikosa ni basi tu hamna namna,other wise ni kujifariji tu
We leta logical/critical thinking uzuri hisia haziend kwa logic ,period