Nilideclare kuwa nilichosema ni fikra zangu, zinaweza kuwa kweli ama uongo. Uzuri mimi si mnafiki siwezi sema nyeupe penye nyeusi.

Shida ipo kwenu kuona wengine ni wajinga ikiwa tu walioa si bikra na wanawapenda na kuwa care hehe, Je mkuu unafahamu kuwa kwa wewe kusema ni wajinga haiwafanyi kuwa wajinga kweli? Ujinga wao unabaki katika mtazamo wako? Unafahamu? Ingeletwa maana sahihi ya mjinga tungeweza kupima ujinga wao. Or else.......

FYI core desire za wanaume?? ikiwa tu wewe ni msemaji wa wanaume wote na wamekutuma useme hivyo! Mimi pia sio msemaji wao ndio maana argument zangu zinaegamia pande zote mbili, ikiwa ninyi mnaona point A tu najaribu kuwaonesha point B, kama kuna A na B na vyote vinapatikana katika duara moja huoni kuwa wewe upo sahihi na wao pia? Je unaonaje?

We ruka ruka weee,ukweli utabaki pale pale bikra na asiye bikra ni tofaut tangu na tangu ,japo sio mfuasi mzur Wa dini
1-hata kwenye bible yesu alizaliwa na bikra

2-hata kwenye Quran ,tukienda peponi utapewa wanawake kibao afu ma bikra

3-historia za jamii zote ni shahid jinsi bikra ilivyochukuliwa ,sasa unataka hao wanaume wasemewe na nani,wakat every thing its clear to see,ha ha haaa

Bikra itabaki bikra tu,kuikosa ni basi tu hamna namna,other wise ni kujifariji tu


We leta logical/critical thinking uzuri hisia haziend kwa logic ,period
 
Sasa naoa mimi au anaoa mtu

Mimi ndo ntakaeishi naye huyo mwanamke, kifupi kuoa mwanamke used hakunipi Amani ya Moyo (inanipa kinyaa flani )

Sasa nioe sifa Nzur afu sina feelings hapo vipi mzee
Haya mkuu ni jambo jema sanaa...! Me ubikra sio sifaa ya muhimu kwanguu... Anyway tumetofautianaa maana mwingne atataka anaetoa tigo kabisaa ili waendee sawa..
 
We ruka ruka weee,ukweli utabaki pale pale bikra na asiye bikra ni tofaut tangu na tangu ,japo sio mfuasi mzur Wa dini
1-hata kwenye bible yesu alizaliwa na bikra

2-hata kwenye Quran ,tukienda peponi utapewa wanawake kibao afu ma bikra

3-historia za jamii zote ni shahid jinsi bikra ilivyochukuliwa ,sasa unataka hao wanaume wasemewe na nani,wakat every thing its clear to see,ha ha haaa

Bikra itabaki bikra tu,kuikosa ni basi tu hamna namna,other wise ni kujifariji tu


We leta logical/critical thinking uzuri hisia haziend kwa logic ,period

Nitarudi baadae ngoja nifanye majukumu yakifamilia. Umetumia jicho lipi kuona mimi naruka ruka na wewe huruki ruki?

Nikirudi ujitahidi kueleza maana ya ukweli. Labda tutapata ground ya mjadala huu.
 
Usimsemee mwanamke pekee kwamba sio mvumilivu, jiulize na wewe unauwezo wa kuvumilia hiyo mihemko kabla ya ndoa? maana mwanamme ndio mtoaji wa hiyo bikra unakazania mwanamke tuuu wakati nyie ndio mnaowarubuni hadi watoto wa shule za msingi halafu bado unataka bikra badili mindset yako.
siwezi badilisha ukweli kuwa uwongo...kusingali kuwa na viwanda vya pombe au watengeneza pombe za kienyeji pasingalikuwepo walevi....kwani mwili huo si wako si unauwezo wa kusema hapana na ukasimama kwenye huo msimamo unadhani angelazimisha....kwa anaebakwa kweli wamemuharibia bikira yake...umeombwa umetoa amepokea kwa kuwa alimuomba karuhusu mwenyewe kuachia....kungalikuwako na msimamo kwenu basi hata mwanaume angekuwa hivohivo si anakaziwa...kila akiomba
 
Mtu mwenye hela zake kama majizo, HB na anaheshimika katika jamii anajiandaa kumuoa lulu ambae Tz nzima inamjua kwa namna alivokuwa siku za nyuma. Mwanaume hajamjudge, amemkubali alivyo, zaidi sana anambadilisha awe mke mwema kwake.

Tabu ipo kwa makapuku, mia mbili mfukoni hawana, uHB hawana, usafi "F", hawafahamiki popote, maisha yao kuunga unga tu, ila kutwa kuongea nonsense juu ya wanawake as if they are all that! Mtu hana chochote zaidi ya pu*** na simu ya tekno lakini anataka mwanamke mzuri, bikra, anakazi, etc Ulofa tu Povu ruksa.........
Haaaahaaaaa
 
Mm naoa mwanamke nitakae furahia nae maisha though kuna vitu vingine vinaweza kuwa kama added advantage.


Ila hapa nmeona ili suala la bikira limekuwa mwiba sana na najua wengi mmeingia kwny ndoa bila bikra sasa mnamshangaa na kubishana na mtu mwenye mtazamo tofauti na nyinyi
Hatukatai ana mtazamo wake lakini aanze na kujitathmini yeye mwenyewe aitake bikra sasa hivi yeye ameshatembea na watu wangapi hadi sasana wote hajawakuta na bikra anafikiri hao wanawake hawakuwa na bikra? yeye amtafute mwenuye bikra amtoe then wataendelea kummegea kama kawaida asione kumpata mwanamke bikra ndio kamaliza au ajue eti hatokuwa na changamoto anajidanganyaaaaa
 
kwani kuna uhusiano kati ya kulea na kipigo?? kila ki2 hutokea kwa sababu ata uzinzi na umalaya unasababu zake kubwa ikiwa malezi..
unatudanganya na wewe bwana uzinzi na umalaya ni malezi hama hulka ya mtu? kwa wazazi ndio wanakufundisha hama? walezi watakukanya kazi kwako kuvifuatilia hama kuvipuuza
 
unatudanganya na wewe bwana uzinzi na umalaya ni malezi hama hulka ya mtu? kwa wazazi ndio wanakufundisha hama? walezi watakukanya kazi kwako kuvifuatilia hama kuvipuuza
Inshu ya malezi is pychological... mtu hazaliwi na hulka, in the matter of fact u are who u are today kwa sababu ya experiences ulizopata huko nyuma..
 
Hatukatai ana mtazamo wake lakini aanze na kujitathmini yeye mwenyewe aitake bikra sasa hivi yeye ameshatembea na watu wangapi hadi sasana wote hajawakuta na bikra anafikiri hao wanawake hawakuwa na bikra? yeye amtafute mwenuye bikra amtoe then wataendelea kummegea kama kawaida asione kumpata mwanamke bikra ndio kamaliza au ajue eti hatokuwa na changamoto anajidanganyaaaaa
Povu kama lotee
 
Habari Wakuu!

Mwanamke mwenye Bikra kuolewa ni lazima na ni haki yake lakini hawa wakina Amber Rutty kwa kweli kuolewa wacha waiite Bahati. Huwezi msikia mwanamke Bikra akiongea kauli ya kijinga kama hiyo. Kauli hiyo hutolewa na wanawake waliochojolewa na wale dizaini ya kina Wema.

Mwanamke Bikra anayohaki ya msingi ya kuchagua mwanaume amtakaye. Hakika inapendeza kusika mwanamke bikra akisema nataka mwanaume mwenye pesa, HB, na mcha Mungu. Hata sisi wanaume tutakuambia kwa kweli una haki ya kuchagua hivyo. Lakini nyie akina Amber Rutty ambao mgodi ulimalizwa madini yote kwa kweli mnashangazaga sana. Hata hivyo Mungu ni mwema kwani aliumba pia na wanaume wajinga na wenye kujidharau ndio maana mnaolewa. Lakini kwa wanaume wanaojielewa, wanaojua thamani ya mke hawawezi hata thubutu kuchukua binti asiye bikra.

Binafsi nipo tayari kutoa mahari yoyote kwa mke wang mtarajiwa endapo tuu atakuwa ni bikra. Bikra ni Nyota njema. Embu fikiria Yesu angezaliwa na mwanamke asiye na bikra nini kingekuja kwa wanaume wanaojua kufikiria na kujua thamani ya utume.

Mwanamke mwenye bikra hawezi kuwa na wasi wasi hata afikishe miaka 40. Lakini asiye na bikra miaka 25 tuu jasho linamtoka. Kuolewa ni bahati kwa wanawake wasio na Bikra lakini ni lazima kwa wanawake wenye bikra.

Sasa Hivi atoke mwanamke hapa mwenye umri wa miaka 35 aseme yeye ni bikra na anataka kuolewa, nakwambia hawezi chukua wiki moja wanaume watapanga foleni kujaribu bahati zao. Lakini atoke asiye na bikra miaka 24 awe mzuri kama malaika aseme anataka kuolewa uone kama hata chukua miaka kama miwili mpaka saba kupata wa kumuoa.

Sijui kwa nini watu hawaelewi mambo madogo kama haya.

Povu linaruhusiwa. Hasa kwa wanawake wenye mrengo wa Amber Rutty
Shida Ni pale tutakapojitunza halafu tunaolewa mwanaume anakuja kukusaliti.na ile misemo mwanaume haridhiki na mwanamke mmoja inadiscourage sana
 
Hakuna mke wa mtu kuchepuka kama aliye olewa na Bikra
Sahihi kabisa mimi nimeshakutana nao wengi tu wanataka kujua ladha nyingine ikoje waone tofauti iko wap binafs sihitaji bikra atanisumbua mpaka aje kutulia
 
Shida Ni pale tutakapojitunza halafu tunaolewa mwanaume anakuja kukusaliti.na ile misemo mwanaume haridhiki na mwanamke mmoja inadiscourage sana


Upo sahihi sana Mkuu. Ila ishi kwa kumuangalia Mungu anasemaje na si matokeo ya maamuzi ya mwanadamu/mwanaume
 
Ni nani hata amekwambia kwamba hao Wanawake uliowataja wanapenda au lengo lao maishani mwao ni kuolewa? Kuna watu wameridhika na maisha yao jinsi yalivyo kama wewe labda ulivyoridhika na yako, waache watu wawe jinsi wanavyotaka kuwa, wewe weka hiyo bikira na subiri Mwanamke/Mwanaume ambaye mtafanana yaani wote bikra muoane muwe na furaha kama wengine walivyo na furaha kuishi bila bikira na siyo ishu kwao!
Nahisi hii mada imekulenga moja kwa moja, pole utampata wa kufanana nawe.
 
Yawezekana ulichokiongea ni sahihi. Japo lugha uliyotumia du!
Mimi ni mwanamke, lakini sidhani kama ni jambo jema kwa mwanaume aliyeoa lady asiye na bikira kumwita "mjinga". Si kosa lake. Na tambua pia kuna wanaume hawapendi hizo bikira. Pia, kinachounganisha watu ni upendo na si bikira.
Jingine, utajua vipi kama huyu binti Ana bikira au hana? Maana hatutembei na nembo siye.
Hayo yote ni majaliwa
Kwa iyo hata bongo movie huwezi jua ni used au sio used?!
 
Back
Top Bottom