Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,562
- 7,348
Kwanini hawasemi siku hiyoUkweli mchungu huu,sasa umepata mchumba unaambiwa mahari sh.mil.2 au 3 halafu kabla hujatoa unamuuliza mshenga kuwa awaulize wazazi wa binti kuwa binti yao ni BIKRA...povu litakalokuja utafikiri limetoka sayari ya Jupiter
nimewagusa eeeh? mpaka mitusi ya nguoni inawatoka..
Hujishangai upo mwenyewe unaetetea wasio na bikra. Hata wanaume waliooa wasio na bikra hawapo upande wako. Huoni Mkuu.
Muungwana akivuliwa nguo huchutama. Wewe bado kujitetea ulipojikwaa. Haaaa! Unatia huruma sana
ningekua natia huruma ungenignore,sipo hapa kupata support ya mtu yeyote na ninaongea ninayosimamia,sibishani for the sake ya kubishana,nimewaambia angalieni mazingira yaliyowazunguka with an open mind mtajifunza mengi,eti unamkagua mtoto bikira….aisee sijui naongea na watu wa namna gani humu..sad
Kuna wanaume wajinga sana wanadai eti bikra ni usumbufu yaan kutoa bikra ni usumbufu...hao ndo wanaochangia kuoa wasio na bikra coz asaiv wengi wanaangalia wowowo tu na si kingne...demu ata awe kicheche vp lkn jitu linaangalia tako eti
Sent using Jamii Forums mobile app
Na pia anafungua njia yake kwa saizi ya dushe LakeRebbeeca Dada angu mtabishana ila huwezi kumuelewa kwasababu wewe sio mwanaume, thamani ya bikra anayeiona ni mwanaume,kwa mfano mtu anaoa halafu mwanamke anayemuoa anajua kabisa huyu mwanamke alishawahi kuwa na mtu flani kimapenzi,kuna feeling wewe huwezi kuifeel kwasababu sio mwanaume, ila walio oa wanawake bikra mahusiano yao yanakuwa mazuri hasa kwa mwanaume
Yuko mtu siku ya harusi hakuikuta akadai hela zake arudishiweHiyo ni kutokana tu na mfumo wa malezi yaliyopo,kuna jamii za watu wapo serious katika kuhakikisha mabinti wanajitunza,ila kwa Mimi kwa kweli siwezi kutoa mahari kwa mwanamke asiye bikra, never ever in my life
Mwingi wa Rehema na mwenye kurehemUkiambiwa Mungu mwenye Rehema uwe unaelewa sasa. Huna bikra unatafuta mume na kwa neema ya Mungu unaolewa