Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna sehemu kweli wameandika kuwa sababu ya kifo ni Covid-19? Nimejitahidi kuingiza kila neno kwenye kamusi, nimeshindwa kupata sehemu hiyo ila pia nimeona sehemu ambayo wamepotoshwa maneno ya SS kwamba hakusema sababu ya kifo.Ila wewe..dah.
Wameandika cause ni covid...dah...ila kiukweli its very painful
Ina maana hujasoma? Mbona wameandika mkuuKuna sehemu kweli wameandika kuwa sababu ya kifo ni Covid-19? Nimejitahidi kuingiza kila neno kwenye kamusi, nimeshindwa kupata sehemu hiyo ila pia nimeona sehemu ambayo wamepotoshwa maneno ya SS kwamba hakusema sababu ya kifo.
Mnyonge mnyongeni......
Was known for Mis-informing about Covid-19 😂😂😂 Wikipedia wahuni sanaWamemsagia kunguni .
Mwendazake Anazidi KUDHIHAKIWA
Mimi hata kusoma neno corona najiskia vby sana inanikumbusha yale matesoIkishakupata Corona utaleta ushuhuda, sisi wengine tuna ndugu ilishawapata tuliona mateso yao walivyokuwa wanapumua kwa tabu kwa kutumia oxgen
TrueHakuna lolote hao ntu za dill basi wanataka kupiga za IMF bas maana tusidaganyane km corona yupo tungemuona ntaani km kipindu pindu inavyokuaga.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
kwakweli ni hatari, Ni muhimu kuchukua TahadhaliMimi hata kusoma neno corona najiskia vby sana inanikumbusha yale mateso
Sijaona boss, naona wananukuu maneno ya watu na inasemekana semekana nyingi tuIna maana hujasoma? Mbona wameandika mkuu
Dah ! IT PAINSUgonjwa wake ulionesha dalili za corona ndoo wanavyosema.
Hatua za kuvaa barakoaa?Ukiwaza sana magufuli alikua muuaji .hizi hatua zilipaswa kuchukuliwa mapema sana.
Na ule mtambo wa Sido vipi pale Muhimbili?Hatua za kuvaa barakoaa?
Kwani Kuna hospitali waliacha kivaaa barako?
Sisi wengine tangu ugonjwa utamgazwe hospitali zetu watu hawaingii bila barakoaa, na Magufuli akiwa raisi.
Kwamba alikua muuaji, aliwavua watu barakoa.
Kwani waziri wa kwanza kuamuru watu wavae barakoa Ni Nani Kama si Ummy wa Magufuli!!!
Nchi moja ya jirani yenyewe inazika majeneza tupu na kupiga picha za kuwaingiza mkenge mabeberu watoe mpunga! Halafu mpunga wenyewe ni mkopo!! Akili za watu wanazijua wenyewe!Hakuna corona nyie semeni ni ntu za dill mnataka kupiga ela za IMF
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app